Naomba kujua namna ya kuhamia kufundisha vyuo vikuu, kutoka kuwa mwalimu wa sekondari

89N

Member
Jun 20, 2017
25
11
Wakuu samahani, naomba msaada namba ya kuomba kibali Cha kuhamia kufanya kazi vyuo vikuu, kutoka kwenye shule ya sekondari (halmashauri).

Ikiwezekana na sanduku la posta ni lipi.
 
Kulingana na muelekeo wa masomo yako ya degree ya kwanza, cha kwanza identify chuo. Namaanisha, kama ulisoma kilimo unaweza anza na SUA au kile cha Mwalimu Nyerere cha Butiama. Kama ulisomea uhandisi, unaweza check na MUST, DIT, UDSM-COET, ARDHI etc.

Cha pili, kama GPA inaruhusu, vyuo vya serikali ni kuanzia 3.8 kupanda juu, then unatafuta anuani ya makamu mkuu wa chuo, (mara nyingi unazipata bure online), then unaomba kwa nafasi unayotaka kuingialia.

Cha mwisho unatuma barua ukiambatanisha na vyeti vyako vya shule tokea O-level, then unakaa chini na kurelax kusubiri majibu.
 
hatuwataki nyie ndo mnakuja kutusumbua marks mnatukazia bila sababu na mademu mnawala.

hadi sahivi sijalala kisa vi lecturer uchwara pumbavu kabisa.
Kuwa na heshima basi mzee, tuheshimiane na wewe.
Thread nyingine zikupite kama huna cha ku-comment.
 
Kulingana na muelekeo wa masomo yako ya degree ya kwanza, cha kwanza identify chuo. Namaanisha, kama ulisoma kilimo unaweza anza na SUA au kile cha Mwalimu Nyerere cha Butiama. Kama ulisomea uhandisi, unaweza check na MUST, DIT, UDSM-COET, ARDHI etc.

Cha pili, kama GPA inaruhusu, vyuo vya serikali ni kuanzia 3.8 kupanda juu, then unatafuta anuani ya makamu mkuu wa chuo, (mara nyingi unazipata bure online), then unaomba kwa nafasi unayotaka kuingialia.

Cha mwisho unatuma barua ukiambatanisha na vyeti vyako vya shule tokea O-level, then unakaa chini na kurelax kusubiri majibu.
Ahsante mkuu
 
Wakuu samahani, naomba msaada namba ya kuomba kibali Cha kuhamia kufanya kazi vyuo vikuu, kutoka kwenye shule ya sekondari(halmashauri).

Ikiwezekana na sanduku la posta ni lipi.
Mkuu hujatoa maelezo ya kutosha ili upate msaada. Unataka kuhamia kwa misingi ipi?
 
Wakuu samahani, naomba msaada namba ya kuomba kibali Cha kuhamia kufanya kazi vyuo vikuu, kutoka kwenye shule ya sekondari(halmashauri).

Ikiwezekana na sanduku la posta ni lipi.
  1. Tambua chuo na program zinazotolewa kama zinaendana na masomo uliyosomea.
  2. Angalia unaomba kama nani?! Tutorial Assistant (ukiwa na Bachelor degree) au Assistant Lecturer (Masters degree) na kadhalika, bila kusahau vigezo vyake.
  3. Andika barua rasmi ya kiofisi kuulizia kama kuna nafasi ya kuhamia kwa cheo na eneo la utaalamu kwenye hicho chuo.
Kama mabosi wako sio wanoko, unaweza kuipitishia kwao kuongeza mkazo zaidi. Hili huwa ni lazima, japo unaweza kufanya kimya kimya.
Mara nyingi vyuo hutangaza nafasi za kuhamia pia. Hii ni nafasi nzuri zaidi, maana huelekeza hadi namna ya kuomba kuhamia, japo process sio ngumu.
  1. Baada ya kuandika barua ya kuulizia nafasi ya kuhamia, kaa utulie usubiri majibu. Utajibiwa kwa maandishi na utaratibu wote utapewa, lakini mara nyingi utaelekezwa kuandika barua rasmi ya kuomba kuhamia hiyo taasisi. Utaiaddress hii barua kwenda utumishi, ukiambatanisha barua uliyojibiwa na taasisi kua kuna nafasi ya kuhamia.
Barua hii lazima ipitie kwa mwajiri wako wa sasa, akipitisha kwa kukubali ombi lako, imeisha hiyo mzee.
  1. Hadi hapo, utasubiri tu barua ya uhamisho toka utumishi, halafu unaenda kureport kituo kipya cha kazi.
Kama kuna upungufu wowote katika maelezo yangu, wadau wataongezea kukupa mwongozo zaidi.
 
  1. Tambua chuo na program zinazotolewa kama zinaendana na masomo uliyosomea.
  2. Angalia unaomba kama nani?! Tutorial Assistant (ukiwa na Bachelor degree) au Assistant Lecturer (Masters degree) na kadhalika, bila kusahau vigezo vyake.
  3. Andika barua rasmi ya kiofisi kuulizia kama kuna nafasi ya kuhamia kwa cheo na eneo la utaalamu kwenye hicho chuo.
Kama mabosi wako sio wanoko, unaweza kuipitishia kwao kuongeza mkazo zaidi. Hili huwa ni lazima, japo unaweza kufanya kimya kimya.
Mara nyingi vyuo hutangaza nafasi za kuhamia pia. Hii ni nafasi nzuri zaidi, maana huelekeza hadi namna ya kuomba kuhamia, japo process sio ngumu.
  1. Baada ya kuandika barua ya kuulizia nafasi ya kuhamia, kaa utulie usubiri majibu. Utajibiwa kwa maandishi na utaratibu wote utapewa, lakini mara nyingi utaelekezwa kuandika barua rasmi ya kuomba kuhamia hiyo taasisi. Utaiaddress hii barua kwenda utumishi, ukiambatanisha barua uliyojibiwa na taasisi kua kuna nafasi ya kuhamia.
Barua hii lazima ipitie kwa mwajiri wako wa sasa, akipitisha kwa kukubali ombi lako, imeisha hiyo mzee.
  1. Hadi hapo, utasubiri tu barua ya uhamisho toka utumishi, halafu unaenda kureport kituo kipya cha kazi.
Kama kuna upungufu wowote katika maelezo yangu, wadau wataongezea kukupa mwongozo zaidi.
Ahsante mkuu nimekupata vizuri Sana,
 
1. Tambua Chuo na programs zinazotolewa kama zinaendana na masomo uliyosomea
2. Angalia unaomba kama nani?! Tutorial Assistant (Ukiwa na Bachelor degree) au Assistant Lecturer (Masters degree) na kadhalika bila kusahau vigezo vyake
3. Andika barua rasimi ya kiofisi kuulizia kama kuna nafasi ya kuhamia kwa cheo na area of specialization kwenye hicho chuo
Kama mabosi wako sio wanoko unaweza kuipitishia kwao kuongeza mkazo zaidi, hili hua ni lazima japo unaweza kufanya kimya kimya
Mara nyingi vyuo hutangaza nafasi za kuhamia pia, hii ni nafasi nzuri zaidi maana huelekeza hadi namna ya kuomba kuhamia japo process sio ngumu
4. Then ukishaandika barua ya kuulizia nafasi ya kuhamia kaa utulie usubiri majibu, utajibiwa kimaandishi na utaratibu wote utapewa lakini mara nyingi utaelekezwa kuandika barua rasmi ya kuomba kuhamia hiyo taasisi, utaiaddress hii barua kwenda utumishi ukiambatanisha barua uliyojibiwa na taasisi kua kuna nafasi ya kuhamia
Barua hii lazima ipitie kwa mwajiri wako wa sasa, akipitisha kwa kukubali ombi lako imeisha hiyo mzee
5. Hadi hapo utasubiri tu barua ya uhamisho toka utumishi then unaenda kureport kituo kipya cha kazi
Kama kua sehemu maelezo yangu yana upungufu basi wadau wataongezea kukupa mwongozo zaidi
Ahsante Kwa maelezo mazuri Sana umetusaidia wengi
 
  1. Tambua chuo na program zinazotolewa kama zinaendana na masomo uliyosomea.
  2. Angalia unaomba kama nani?! Tutorial Assistant (ukiwa na Bachelor degree) au Assistant Lecturer (Masters degree) na kadhalika, bila kusahau vigezo vyake.
  3. Andika barua rasmi ya kiofisi kuulizia kama kuna nafasi ya kuhamia kwa cheo na eneo la utaalamu kwenye hicho chuo.
Kama mabosi wako sio wanoko, unaweza kuipitishia kwao kuongeza mkazo zaidi. Hili huwa ni lazima, japo unaweza kufanya kimya kimya.
Mara nyingi vyuo hutangaza nafasi za kuhamia pia. Hii ni nafasi nzuri zaidi, maana huelekeza hadi namna ya kuomba kuhamia, japo process sio ngumu.
  1. Baada ya kuandika barua ya kuulizia nafasi ya kuhamia, kaa utulie usubiri majibu. Utajibiwa kwa maandishi na utaratibu wote utapewa, lakini mara nyingi utaelekezwa kuandika barua rasmi ya kuomba kuhamia hiyo taasisi. Utaiaddress hii barua kwenda utumishi, ukiambatanisha barua uliyojibiwa na taasisi kua kuna nafasi ya kuhamia.
Barua hii lazima ipitie kwa mwajiri wako wa sasa, akipitisha kwa kukubali ombi lako, imeisha hiyo mzee.
  1. Hadi hapo, utasubiri tu barua ya uhamisho toka utumishi, halafu unaenda kureport kituo kipya cha kazi.
Kama kuna upungufu wowote katika maelezo yangu, wadau wataongezea kukupa mwongozo zaidi.
Umepita mulemule
 
  1. Tambua chuo na program zinazotolewa kama zinaendana na masomo uliyosomea.
  2. Angalia unaomba kama nani?! Tutorial Assistant (ukiwa na Bachelor degree) au Assistant Lecturer (Masters degree) na kadhalika, bila kusahau vigezo vyake.
  3. Andika barua rasmi ya kiofisi kuulizia kama kuna nafasi ya kuhamia kwa cheo na eneo la utaalamu kwenye hicho chuo.
Kama mabosi wako sio wanoko, unaweza kuipitishia kwao kuongeza mkazo zaidi. Hili huwa ni lazima, japo unaweza kufanya kimya kimya.
Mara nyingi vyuo hutangaza nafasi za kuhamia pia. Hii ni nafasi nzuri zaidi, maana huelekeza hadi namna ya kuomba kuhamia, japo process sio ngumu.
  1. Baada ya kuandika barua ya kuulizia nafasi ya kuhamia, kaa utulie usubiri majibu. Utajibiwa kwa maandishi na utaratibu wote utapewa, lakini mara nyingi utaelekezwa kuandika barua rasmi ya kuomba kuhamia hiyo taasisi. Utaiaddress hii barua kwenda utumishi, ukiambatanisha barua uliyojibiwa na taasisi kua kuna nafasi ya kuhamia.
Barua hii lazima ipitie kwa mwajiri wako wa sasa, akipitisha kwa kukubali ombi lako, imeisha hiyo mzee.
  1. Hadi hapo, utasubiri tu barua ya uhamisho toka utumishi, halafu unaenda kureport kituo kipya cha kazi.
Kama kuna upungufu wowote katika maelezo yangu, wadau wataongezea kukupa mwongozo zaidi.
Maelezo mazuri kabisa... na je, kunakuwa na usaili?
 
Back
Top Bottom