Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

Ndo maana nlisema nawaogopa watu wa jf....Aisee tutaishia huku majukwaani tu...kuonana nooooo....

Lakini inategemeana na lengo la kuonana. Af kule nliona umekutwa na Bwana pepsi hujarudi tena...hahahaa
 
Unakuta muhusika ndo mkongwe unadhan mode sio rafiki wake wa karibu!spare her
 
Hukohuko....

Hahahaaa....Hamna bwana, Bwana Pepsi yuko pembeni ana watch the show...Le Daktaree...

Nina majanga si kidogo mwenzio...ila msimamo wangu ni kuwa nawaogopa sana watu wa jf, sana.
 
Lakini inategemeana na lengo la kuonana. Af kule nliona umekutwa na Bwana pepsi hujarudi tena...hahahaa

My wii Khantwe nimechelewa kufika hapa ila thread mwanzoni nimeisoma nataka kujua huyo dada katajwa?
 
Last edited by a moderator:
Ndo maana nlisema nawaogopa watu wa jf....Aisee tutaishia huku majukwaani tu...kuonana nooooo....

Nadhani hakuna Sababu za kuogopa watu wa Jf! Labda ujiogope mwenyewe.
 
Hahahaaa....Hamna bwana, Bwana Pepsi yuko pembeni ana watch the show...Le Daktaree...

Nina majanga si kidogo mwenzio...ila msimamo wangu ni kuwa nawaogopa sana watu wa jf, sana.

Mmmhhhh hayaa
 
This is the problem with getting attached to someone. When they leave, you just feel lost,,,,inavyoonekana unampenda sana huyu bint!!!!! Ila kikubwa tu hapa You have to let everything Go, kwasasa babu hakupi hope ya kuwa nae ni kigegeu kigegeu ama tunasema ndumi la kuwili na kam utamwendekeza aisee utajuta kama utafunga nae ndoa....ulishawahi kusikia mtu mwenye mali alio mke baadae kama mwako umeisha jamaa alifilisika kutoka na stress na mkewe??????? Mawazo yanaweza kukufanya ukawa maskin ghafla mkuu ....
 
Ni mwalimu wa shule Mmoja ya secondary ya jeshi mkoa wa Temeke! Jina kapuni ... Nitarudi baadae if needed.

Hahahaa mwaga info mkuu tuvuruge privacy take huyo mwalimu mwenye akili ya kamasi. coz ye kamvuruga mwanetu! Na kachafua credibility na wadada wa JF. Alafu mademu yenye nyodo hivyo huwa ni mabovuuuu sura sekrepa!
 
interesting.......kumbe mbagala chamazi pia kuna a sister du wa kuomba kushushwa kwenye gari njiani?
halafu akaenda kugombania daladala?

this is news to me.........

yaani wadada wa kibongo kwa kuiga movie za Hollywood hadi wanajiumiza

yaani unaelekea Chamazi eti umekairika ushushwe njiani?

mimi ngingemshusha fast na wala nisingmpigia tena....

huyo sister du wa mbagala keshakusoma weakness zako so anakutingisha tu hadi mwisho akwambie mwanao simtaki alelewe na mama yake......ignore her haraka

Dhumuni la kushukia njiani ni kwamba jamaa asijue anakokaa...make huwezi niambia mtu anatoka ubungo mpk chamazi km anaenda angalia mechi za azam halafu ashukie njian.
 
Nimeamua kumtaja kwani naamini sio kosa kabisa kwani kuna viongozi wengu hutajwa huku watu wa heshima kabisa na wanawekwa hadi picha zao

Mfano Mh zitto,Dr Slaa,Raisi pia wanaongelewa kwa kashfa mbalimbali na watoa mada hawafanywi chochote

Watu wanatoa hadi siri za nchi na hawafanywi chochote Mimi nikimtaja tu ndo iwe kosa aaah wapi nasema waziwazi

Wanaotaka wamjue waniunge mkono nami nitasema si punde nikipata support ya member kumi nasema jina lake kila member amjue ili ajirekebishe

Pole sana kwa kuumia,usifanye hivyo shusha hasira mkuu,mpende akupendae asiyekupenda achana naye....shukuru Mungu umeonyeshwa mapema kwamba si mwema kwako huyo. Mungu akupatie wa kufanana na wewe.
 
Back
Top Bottom