Nasikia sheria za Jf haziruhusu ningeku pm na kumtaja kabisa Omba ruhusa kwa Moderator na kanambia ana juana nao pia naogopa Ban Mkuu
au kwa vile ni 'kivuli' wa kwenye JF eeh? as per your kauli-mbiu ileeee ya vivuli. teh teh teh
Kaandika sms eti nimeamua kumdhalilisha na kusema "Mark ma words ukifuata ushauri wa Jf you will ruin your life!! Sijui let me wait to be ruined by Jf advise
Nasikia sheria za Jf haziruhusu ningeku pm na kumtaja kabisa Omba ruhusa kwa Moderator na kanambia ana juana nao pia naogopa Ban Mkuu
- Ingawa alikupima kwa kukuambia ana mtoto kwenye mangezi yenu kabla hata ya kuonana ulipaswa na wewe kuzungumzia swala lako la kuwa na mtoto. lakini hukufanya hivyo ulikuja kumuelezea siku ya kuonana tena baada ya kuulizwa, hilo ni kosa.
- Kuwa na mtoto ni jambo la kawaida sana, ila kuonesha mahusiano/mawasiliano ya wazi kwenye husiano mpya uliyouanzisha, hilo ni kosa.
- Siku za usoni anza kuwa wewe muwazi na maisha yako, ili mtu ajua anaingia katika mahusiano ya namna gani.
- Kitendo cha kuombwa kushushwa ghalfa ni kawaida kwa watoto wa kike kususa susa ovyo.
- Ila kitendo cha kuku zuia ghalfa kwenye whatsapp, massage hajibu, simu hapokei hiyo ni ishara ya kwamba alikuwa/ana mtu wake tayari, kwa hiyo kuwa makini usije ukatumiwa.
Ni kweli nilimueleza baada ya kuonana kwani pia hakuna lililoharibika kwani bado ni mapema mno na ni siku ambayo tumeonana
Pia sikuwa na Haraka ya kumweleza kuhusu huyu mwanangu kwani ninachokijua Mimi yeye alisema pasipo Mimi kumuuliza huyo mtoto wake lakini pia nikampokea ila yeye alipouliza kuhusu Mimi kuwa na mtoto na nikamwambia alihamaki?najiuliza alihitaji ambaye hana mtoto kama ni hivyo angefanya kuwa preference question, na sio kusubiri
Mimi nilichokuwa namfikiria ni kumpata mtu ambaye atakuwa msaidizi wa maisha tukashauriana pamoja na kujenga familia iliyo bora kuwa na mtoto kabla yake hakuathiri nafasi hiyo.
Kwani kwa kuwa na mtoto ni sehemu tu yamapitio ya maisha na bado Twaweza jenga familia bora yeye akiwa na wake nami na Wang
Shukrani
mkuu, hakuna mwanamke hapo. piga chini gume-gume hilo lisilojitambua. na kama alikuwa anatikisa kiberiti ili aone umezimikaje kwake, basi maliza kabisa na funga ukurasa! Umeliheshimu na kuchoma mafuta yako all the way from Ubungo to Mbagala, limeona lishafika mbagala alafu ndo linajifanya kususa na kushuka??!! si ajabu halijasema ata 'AHSANTE' kwa lift.
Demu anakuwa mkali/mkorofi kiasi hicho just at the FIRST DATE??!! puuuuuuuuh. huyo ndo maana kaishia kuzalishwa na kutelekezwa tu. Mwanaume gani anaejitambua aoe jike lenye akili-mibange kama hilo?
mademu wenye kupretend 'mapozi-mbuzi' kama huyo ndo huwa na-DELETE fastaaaa kwenye memory yangu, tena na-format kabisa.
Mkuu, pole kwa mkosi huo ambao naamini umekuharibia jioni yako ya leo. Plus ungekutana na 'Panya Road' wa Kova, ndo kabisaaa ungezimia na roho yako. Endelea kutafuta mke, wewe ni 'SUPER BRAND' bhana, Mungu akujaalie upate mke ambae ni super-branded as well.
-Kaveli-
- Katika mapenzi mwanamke anashawishi kihisia, mwanaume anashawishi kimatendo. Kusema hukuwa na haraka ya kumuelezea siyo sahihi. Mwanaume anapaswa kuwa wa kwanza kuelezea karibia mambo mengi kuhusiana na uhusiano.
- Mwanamke ni mtu wa kufuata mara nyingi, ni mara chache anaweza kupinga au kukomaa na wazo lake. Sasa unaona akili za mwanamke na mwanaume zilivyotofauti. Yeye kakuelezea kuhusu yeye kuwa na mtoto umekubali, ila wewe kumuelezea kahamaki na hataki tena uhusiano. Ndivyo walivyo siku zote ukiwajua hawatakupa shida.
HATA MM NAONAhayo mapenzi mbona kama ya kitoto flani hivi?
Samahani mtoa mada hicho kidosho kinafuatilia tamthilia zile za kifilipino na zile na kina alhandro (alejandro)
Kaandika sms eti nimeamua kumdhalilisha na kusema "Mark ma words ukifuata ushauri wa Jf you will ruin your life!! Sijui let me wait to be ruined by Jf advise