B bukedde Member Dec 19, 2015 53 72 Apr 2, 2021 #1 Naomba kujua kama sheria za Tanzania zinaruhusu mtu kutumia gari yenye uwezo wa kuzuia risasi kupenya (bullet proof)
Naomba kujua kama sheria za Tanzania zinaruhusu mtu kutumia gari yenye uwezo wa kuzuia risasi kupenya (bullet proof)
wa kupuliza JF-Expert Member Jun 15, 2012 15,226 37,574 Apr 2, 2021 #2 Akiwa kada wa CCM haina shida kabisa mkuu.
Fall Army Worm JF-Expert Member Jan 8, 2015 19,331 14,259 Apr 20, 2021 #3 wa kupuliza said: Akiwa kada wa CCM haina shida kabisa mkuu. Click to expand... Kha!kha!, Kwa hiyo wa vyama vingine hawaruhusiwi?. Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
wa kupuliza said: Akiwa kada wa CCM haina shida kabisa mkuu. Click to expand... Kha!kha!, Kwa hiyo wa vyama vingine hawaruhusiwi?. Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
sengobad JF-Expert Member Aug 13, 2017 8,082 7,454 Jun 6, 2021 #4 Sidhani kama hiyo sheria iliwahi kufikiriwa kutungwa.