Madikizela
JF-Expert Member
- Jul 4, 2009
- 675
- 439
Wakuu salaam sana
Naomba kujua taarifa kuhusu yule Askofu wa Anglikana aliyeamuliwa na mahakama tukufu akamatwe, je amekamatwa?
mwenye taarifa amwage hapa Jamvini:der:
Naomba kujua taarifa kuhusu yule Askofu wa Anglikana aliyeamuliwa na mahakama tukufu akamatwe, je amekamatwa?
mwenye taarifa amwage hapa Jamvini:der: