Simon Adebisi
JF-Expert Member
- Aug 7, 2018
- 1,274
- 2,462
SI unaona story zako sasaOya Mi sio poa,,,Mi nshaua mtu, we ushaua mtu?
SI unaona story zako sasaOya Mi sio poa,,,Mi nshaua mtu, we ushaua mtu?
Oustaadh itakuwa umeishi sana na dada zako,Imebidi nibadilishe tu sasa
Unamaanisha wahuni watamlea vizuri huyu mwamba😳😳😳Ah wapi we mtt ukikaa vibaya unaliwa kama hujaliwa bado
Hizi ndo stori zetu wanaume, kama hujawai ingia jela huwezi kuelewaSI unaona story zako sasa
Yaah aangalie mazingira ya kukaa... Asijichanganye asipotakiwaUnamaanisha wahuni watamlea vizuri huyu mwamba😳😳😳
Wahuni gan akati Me mwenyewe mhuni, natembeaga mitaa ya wahuni usiku wa manane kichwani nayeogopa kukutana na ni pongoUnamaanisha wahuni watamlea vizuri huyu mwamba😳😳😳
Poa mrembo.. nitakie usiku mwema basiHizi ndo stori zetu wanaume, kama hujawai ingia jela huwezi kuelewa
Yani wabongo ndo tatizo letu maswali juu ya maswali , unaanza kupata w/Permitt kwanza ndo utafute kazi. Nimeingia kwa njia halali tu, wewe lete connection za ajira huku kunajika tu ukiamua.Mkuu Boli linatembea tueleze ulipataje work permit bila kuwa na ajira huko mambele? Na umefikaje hapo kannada? Je ulizamia? Ulipata mwaliko? Ni mwanafunzi? Au umepata sponsor sasa amekuacha kwenye mataa
Bahati mbaya Sina dada, ila nmeishi sana na wake zanguOustaadh itakuwa umeishi sana na dada zako,
Sawa shekhe ..kila la kheriBahati mbaya Sina dada, ila nmeishi sana na wake zangu
Hii mada inawahusu zaidi watu waliopo hapa Canada, kama uko TZ naomba uwe mpenzi mtazamaji.Yaani uwe na working permit halafu uje utuulize sisi hapa jinsi ya kupata kazi? Tuambie kwanza hiyo permit uliipataje na lini
😂😂😂Ngoja tuone kama atawezanaMuweke mtu kati dogo huyo
Mim PM nishafunga kitambo napenda vocal za hadharaniAgggh kwa hapa huwez kuprove sasa
Sio vzur bhn Apa Kuna kuku wengi tusimwage mcheleMim PM nishafunga kitambo napenda vocal za hadharani
We mwaga mchele tu me hata sion shida.Sio vzur bhn Apa Kuna kuku wengi tusimwage mchele
Jishikishe na kazi za kusave chips kabab nyama nk kwa wahindi mitaani hapo jioni wanatoa dollar 15 kwa saa,nenda mahotelini kaombe kazi za dish worsher,au bandarini kwenye mameli,au kwenye kazi za ujenziSalaam wana JF,
Mada hapo juu yahusika, mimi ni Mtanzania mwenzenu niko hapa Canada Toronto, ajira ni ngumu kweli kweli na hata matapeli wamejaa usipokuwa makini unalizwa kweupe
Kama kuna mtu anaweza kutoa support please help au hata ushauri nini kifanyike, open work permitt ninayo. Suala ni ajira ipatikane nikusanye maokoto.
Ahsante!!
Tunaomba iyo link mkuuKuna nchi hawazamii kihivyo unavyofikilia. Labda kama umelala ukaota upo Canada. Kwa anaejua maana ya Work permit, akasoma ulichoandika,haviendani. Kwa hiyo, mada yako,![]()
Ila kama unatamani tu kwenda,ntakupa link, siku zikitokea kazi,maombi yako yanapitiwa,ukikidhi vigezo,utachukuliwa na kugharamiwa kila kitu. Kikubwa tu usiwe mzembe.
Hiyo permit hutolewa tu unapokuwa umepata kazi na mwajili anajulikana,na huwezi acha kazi kijinga hivo eti utakaa. Huko siyo Bongo. Au ulitaka tujue tu kwamba unapandaga ndege![]()
Tunaomba iyo link mkuu