Kuna nchi hawazamii kihivyo unavyofikilia. Labda kama umelala ukaota upo Canada. Kwa anaejua maana ya Work permit, akasoma ulichoandika,haviendani. Kwa hiyo, mada yako, 🚮 🚮
Ila kama unatamani tu kwenda,ntakupa link, siku zikitokea kazi,maombi yako yanapitiwa,ukikidhi vigezo,utachukuliwa na kugharamiwa kila kitu. Kikubwa tu usiwe mzembe.
Hiyo permit hutolewa tu unapokuwa umepata kazi na mwajili anajulikana,na huwezi acha kazi kijinga hivo eti utakaa. Huko siyo Bongo. Au ulitaka tujue tu kwamba unapandaga ndege🤣🤣🤣🤣
Ila kama unatamani tu kwenda,ntakupa link, siku zikitokea kazi,maombi yako yanapitiwa,ukikidhi vigezo,utachukuliwa na kugharamiwa kila kitu. Kikubwa tu usiwe mzembe.
Hiyo permit hutolewa tu unapokuwa umepata kazi na mwajili anajulikana,na huwezi acha kazi kijinga hivo eti utakaa. Huko siyo Bongo. Au ulitaka tujue tu kwamba unapandaga ndege🤣🤣🤣🤣