Naomba connection nahitaji kuhama Tanzania

Naomba connection nahitaji kuhama Tanzania

Zamia Kenya huko pitia mpaka wa Sirari ndio rahisi, ukifika pale Sirari upande wa Kenya huwa kuna Nissan dizaini ya Hiace huwa zinapiga routi mpaka Kisumu, Nairobi ama Kisii. Sasa hapo chagua uende wapi, ukienda Kisumu uache ujuaji wa huku Tanzania maana kule ni jamii ya wajaruo wa Kenya na wakurya wa Kenya kidogo. Ukileta ujuaji kule unapasuliwa kuwa makini sana kule. Ama uende Kissi, Kissi ni kama Mwanza ukiwa kule la sivyo ujilipue mpaka Nairobi hayo majiji matatu huwezi kosa cha kufanya. Muhimu usiwe mjuaji kwenye nchi ya watu wengine, mimi nimekaa sehemu zote hizo tatu na nimeishi huko bila shida yoyote ile, ila jiepushe sana na wajaruo wa huko wale ukizingua wanakutoa utumbo.
Ndio niko kwenye mchakato wa kuipata mkuu.
 
Wakuu kwa madhira yanayo endelea ndani ya nchi hii nimeona bora nipakimbie tu. Jamaa hawajali kuhusu sisi wana tufanya vile wanataka. Sio sawa kabisa, mi nimeshindwa kuvumilia hiyo hali kila uchwao kwahiyo nimeona bora niondoke zangu kwenda nchi nyingine.

Mwenye connection na moja ya nchi hizi naomba anisaidie tafadhali. Rwanda, Burundi, Zambia, Malawi, Congo, Sudan, Ethiopia, na Msumbiji nataka nikajilipue kwenye moja ya nchi hizo. Pia unaweza nishauri tofauti na hizo wapi kwingineko kuna pako vizuri kwa ajili ya kujilipua.

Wakuu yeyote mwenye amejaliwa kutembea hizo nchi na kuzifahamu vizuri naomba connection.
Jitahidi ufike Congo Lubumbashi, Uvira ama Bukavu....lakini kwangu mimi nilivoona Bukavu pazuri zaidi, wenyeji wastaarabu na mji umechangamka, yero subvai wamejaa huko wanauza ndara nyie mnafeli wapi

Lakn kwa nchi zote hizo ulizotaja, nakushauri tu baki TZ, la kama hapo ulipo vyuma vimekaza pengine jaribu tu kuhama mkoa
 
Wakuu kwa madhira yanayo endelea ndani ya nchi hii nimeona bora nipakimbie tu. Jamaa hawajali kuhusu sisi wana tufanya vile wanataka. Sio sawa kabisa, mi nimeshindwa kuvumilia hiyo hali kila uchwao kwahiyo nimeona bora niondoke zangu kwenda nchi nyingine.

Mwenye connection na moja ya nchi hizi naomba anisaidie tafadhali. Rwanda, Burundi, Zambia, Malawi, Congo, Sudan, Ethiopia, na Msumbiji nataka nikajilipue kwenye moja ya nchi hizo. Pia unaweza nishauri tofauti na hizo wapi kwingineko kuna pako vizuri kwa ajili ya kujilipua.

Wakuu yeyote mwenye amejaliwa kutembea hizo nchi na kuzifahamu vizuri naomba connection.
dah kweli kwenye miti hakuna wajenzi

sa unahamaje nchi ya maziwa & asali?

miundombinu imeshakaa sawa - miradi kibao ya treni ya mwendokasi, bwawa la umeme wa uhakika wa kuuza uko nje unakotaka kukimbilia vyote vinamaliziwa, usalama ndo usiseme wa kumwaga

upewe nini tena kiongozi? chawa?
 
Hongera sana ndugu, muda mwingine ni vyema zaidi kuchukua maamuzi binafsi bila kuangalia nani anasema nini. Kwahiyo mkuu huko kuna madili kama mtu akijichanga kuja?
Wewe sikiliza moyo wako vile unataka, ukitaka kunywa soda wewe kunywa, maana watakuambia unakunywaje soda wakati unashauriwa kunywa maji, lakini wanashindwa kuelewa kuwa wewe ndio wahitaji kunywa soda.. Dili halali zipo maana kila mtu anayo bahati yake
Chamsingi kuwa na mtu huku kwanza ambaye atakupa muongozo wakati kama utakuja au kushukia kwake...

"Mummy need house baby need shoes"
 
Sawa mkuu, japo nisha wahi sogea pande zile ila niliishia Migori
Zamia Kenya huko pitia mpaka wa Sirari ndio rahisi, ukifika pale Sirari upande wa Kenya huwa kuna Nissan dizaini ya Hiace huwa zinapiga routi mpaka Kisumu, Nairobi ama Kisii. Sasa hapo chagua uende wapi, ukienda Kisumu uache ujuaji wa huku Tanzania maana kule ni jamii ya wajaruo wa Kenya na wakurya wa Kenya kidogo. Ukileta ujuaji kule unapasuliwa kuwa makini sana kule. Ama uende Kissi, Kissi ni kama Mwanza ukiwa kule la sivyo ujilipue mpaka Nairobi hayo majiji matatu huwezi kosa cha kufanya. Muhimu usiwe mjuaji kwenye nchi ya watu wengine, mimi nimekaa sehemu zote hizo tatu na nimeishi huko bila shida yoyote ile, ila jiepushe sana na wajaruo wa huko wale ukizingua wanakutoa utumbo.
 
Back
Top Bottom