Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,188
- 5,810
- Thread starter
- #21
Mkuu maisha ni ku take risk kama kuna ukweli kwenye hilo sio mbaya.
Vijana wa Kenya na Malawi wanajiandikisha kwenda Israeli kwenye kilimo na mshahara mnono, wewe unataka kwenda huko wakati wenyenchi wamekimbia! Nenda ubalozi wa Israeli kajiandikishe, changamka.