saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
Sikuwa kwenye eneo la mtandao ila hadi sasa sijaona Clip ya Mzee Kinana Makamu Mwenyekiti wa CCM, Daniel Chongolo, Katibu Mkuu wa CCM wala Shaka Hamdu Shaka Mwenezi wa CCM wakimpongeza Rais Samia kwa uamuzi wa kutangaza ruhusa ya mikutano ya hadhara.
Kama ndugu zangu kuna yeyote mwenye nayo naomba mnitumie hapa ili nisikilize viongozi wakuu wa CCM na wao wanasemaje kuhusiana na uamuzi huo wa Rais Samia?
Lucas mwashambwa naamini utakuwa nayo naomba niwekee hapa.
Kama ndugu zangu kuna yeyote mwenye nayo naomba mnitumie hapa ili nisikilize viongozi wakuu wa CCM na wao wanasemaje kuhusiana na uamuzi huo wa Rais Samia?
Lucas mwashambwa naamini utakuwa nayo naomba niwekee hapa.