Nanyimwa haki ya ndoa kisa simfikishi kileleni

Nakushauri br..
Piga goli 1 then unga la 2 bila kumtoa babu nje ya pango. Thata km babu alilala ataamka tyu.

Mafundi km cc ndy tunaojua kufanyanga watoto km hao.
[HASHTAG]#KILWA[/HASHTAG] boy
------------------------------
 
Kuna maelezo hapa ya muda unaokadiriwa kuwa wa wastani katika tendo la ndoa, inaweza kukusaidia:

How long should sex last: How Long Should Sex Last, Really?

Kama wanavyosema wadau, mwenza wako asiwe wa kulaumu tu, wote mshirikiane kuona na jinsi gani mtashiriki pamoja na kila mmoja kufurahia. Lisiwe jukumu la mume kucomeka na kuchomoa tu na mke kukaa hapo akitaraji miujiza. Mtambuane, mshirikiane.
 
Hata mi ningekinyima kwnn ujipendelee pendelee mwenyewe mpe utamu mwenzako pia
 
Tatizo lipo kwako ukitaka ufanikiwe hilo kwanza ondoa hofu maana kunabaadhi hupata tatizo hilo kutokana na hofu.
Yaaani kamailianza kutokea Mara ya kwanza na ya pili halafu mke akakukatisha tamaa kwa maneno akili hujijengea kua nikiingia tuu dakika1 tiari na we ukikubali hivyo hakika itakua hivyo
Upo sahihi%
 
Mkk
Katika kipindi kigumu ambacho nimepitia ni wakati huu ambapo mke wangu mpendwa ananinyima tendo la ndoa kisa simkuni itakavyo hivyo kujikuta ninamchafua na kumuacha na hamu kubwa ya kutaka kuendelea na tendo.

Japo nimejaribu kumshawishi anivumilia wakati natafuta njia za kutatua tatizo la kupiga bao moja ambalo hata dk 1 haishi wazungu walishatoka.

Wakuu kuna mzizi ambao naweza kutumia ili niheshimike kwa wife?

Tena afadhali shemeji amekupa taaifa, ingekuwa mwingine ananyamaza, then anatafuta mahali ambapo atakunwa vizuri.

Mkuu hili ni tatizo la kisaikolojia. Kama upo Dar njoo pm nikupe ushauri.
 
Fanya sana mazoezi, kunywa maji yakutosha kwa siku, acha kupiga punyeto, kula vyakula vya protein kwa wingi,

Hii ndio dawa ya nguvu za kiume
Alafu tabia ya kukremisha kila mtu kapiga punyeto haijengi
Umeongea vizuri ila mpangilio sasa
 
Pole ila ushauri ukifanya mapenzi usiweke hisia zote pale nyingine peleka kwenye madeni unoyodaiwa utachelewa tu
 
Mwanamke anatakiwa asuguliwe ipasavyo. Sasa wewe hata dakika moja hufiki-inamaana ndani ya sekunde mbili kwisha habari yako, ulimwoa wa nini?????? Muda wote huo ulikuwa wapi kutafuta suruhisho la tatizo hilo mapema?

Mruhusu akasuguliwa nje na wataalamu. Kama vipi nipe namba yake uone kama atarudi kwako.
Zisije kuwa mbwembwe tu kumbe hakuna kitu. Wahenga husema debe tupu hupiga sana kelele
 
Uwe na kula Ugali wa maana... Ule ushibe... Tafuta na vitu vya protein pia.... Na usiwe na papara kama za jogoo anamtafuta kuku... Chukua muda mwingi kumwanda mwenzioa... Kabla ya kula mzigo....

Hata mpira wa miguu .... Bila mazoezi huwezi fanya vzr uwanjan
 
Kweli wanaume tunatofautina... by the way pole Mkuu.. Ila kama wadau walivyokwambia hapo, kwanza msosi na pia maandalizi ya kiakili, ukiweka concentration sana as if ndio mara yako ya kwanza au ya mwisho KUMKATA mwanamke basi lazima upige chini ya kiwango..

Inatakiwa wewe uwe na uwezo wa kujizuia mpaka unaamua tu kwamba sasa nataka nikojoe.. Yaani unamkojolesha mkeo mpaka 4 au vi5 halafu cha mwisho ndio unakojoa nae..

Wenzio hua tunaamua tu leo nimkojoleshe vingapi.. lakini hii pia inategemea sana na Chemistry yako na Mkeo.. Shirikianeni mtafanikiwa sana.

Unatakiwa upige mzigo mpaka mkeo anakwambia nooo sitaki tena bwana nitashindwa kutembea.
Hongera mkuu
 
Jaman wanaume Jueni kwamba hata mwanamke anakojoa kama nyie kupiz,cyo unafanya tu ilimladi umalize haja zako ndo mana mnasalitiwa mapenzin
 
Naona umeamua kuja kunishitakia huku mume wangu...
Mmh...ata posts zako himu jf zimejaa vipele..mara dalili za kuchokwa na mume, jinsi ya kumkuna papuchi....
Aya ngoja nikupm tuongee vizuri
 
Pole mkuu
Ina mana tatizo limeanza ndani ya ndoa ama tangu uchumba?
Apa nafikiria kama anakunyima wewe ambae anadai unamchafua sjui atakua anampa nani uko nje asee

Sema mkuu fanya uende hospital
I kitu muim
Toto zuri kule kwenye jukwaa la JF chit-chat kuna thread inaitwa mtongozano kiutu uzima,twende huko nikakutongoze mwaya!
 
Back
Top Bottom