Nanyimwa haki ya ndoa kisa simfikishi kileleni

Pia inaezekana mwanamke ameshakuchoka kapata mkunwaji mwingine ndomanakwaupande wangu hua sipendi kuchepuka maana unaeza ukakutana na mtu anapiga kazi ukaona mumeo fala tuuuu bora nibaki njiakuuu kama nakosa utamu achaniukose tii
 
Ajitahidi kubadilisha vyakula, na kufanya mazoezi sana, nilikua km we we lakini baada kuanza kula vyakula asilia sasa hivi natisha
Avocado, Watermelon, cinamon, garlic, less sugar consumption per day and gym workout will increase your libido. Contrary to most of JF members advice, I will advice you to practice a moderate masturbation , This practice will enlarge your manhood and will stimulate your muscles arround it .
 
Katika kipindi kigumu ambacho nimepitia ni wakati huu ambapo mke wangu mpendwa ananinyima tendo la ndoa kisa simkuni itakavyo hivyo kujikuta ninamchafua na kumuacha na hamu kubwa ya kutaka kuendelea na tendo.

Japo nimejaribu kumshawishi anivumilia wakati natafuta njia za kutatua tatizo la kupiga bao moja ambalo hata dk 1 haishi wazungu walishatoka.

Wakuu kuna mzizi ambao naweza kutumia ili niheshimike kwa wife?
Mkuu VP ushapata tiba ya tatizo lako tusaidiane nami niko kama ww
 
Back
Top Bottom