Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Ahsante ndo nmeusikia leo...Nishakula ugali wa muhogo lakini si ulochanganywa na mtama!!
Mie huwa nakula ugali uliochanganywa unga wa Ngano+dona+muhogo...unakuwa mzuri sana yaan nikienda kwa watu au hotelini nikakutana na sembe au dona huwa sipati radha kabisa ya chakula.Mkoa niliopo mtama haupatikan ningeuongeza kwenye listi


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mie huwa nakula ugali uliochanganywa unga wa Ngano+dona+muhogo...unakuwa mzuri sana yaan nikienda kwa watu au hotelini nikakutana na sembe au dona huwa sipati radha kabisa ya chakula.Mkoa niliopo mtama haupatikan ningeuongeza kwenye listi


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

ntakutumia mtama uongezee kwenye list..
 
Back
Top Bottom