sijaolewa wala sina mchumba mhhh!!hivi! mimi49 umeolewa?una mchumba? au uko single and free?
na hio chukuchuku ya samaki ina nn mbona umeikoleza rangi?hivi! mimi49 umeolewa?una mchumba? au uko single and free?
na hio chukuchuku ya samaki ina nn mbona umeikoleza rangi?
Mie ni buheri wa afya cjui weye
sijaolewa wala sina mchumba mhhh!!
Kumbe nawe mpenzi wa pilipili...njoo ule ya kwangu lazima ulie machozi lol...Naja, fasta! Nibakishie afu usisahau pilipili kwa wingi.
hivi! mimi49 umeolewa?una mchumba? au uko single and free?
vitamu jamani,nifundishe basi na mie nimpikie mzee....
Weweee muda wote nlikuwa natazama tu,sijalala Baba utauwawa bureee!!!
Aaaah bana,vipi tena?
Saa 2 ni muda mrefu sana, kwani wendapi weye nikusindikize?
Weweee muda wote nlikuwa natazama tu,sijalala Baba utauwawa bureee!!!
Shosti mbuzi wa leo alikua mkali sana...nampika na nimezimua na tomato paste bado hashikiki wacha nianze kukokoa na machozii..ila tamu hiyo mpaka shemegio kasifuWe nawe na hizo pilipili mbuzi!!!
Shosti mbuzi wa leo alikua mkali sana...nampika na nimezimua na tomato paste bado hashikiki wacha nianze kukokoa na machozii..ila tamu hiyo mpaka shemegio kasifu
tungo tata sana hii hasa tukizingatia na muda wenyewe!
tungo tata sana hii hasa tukizingatia na muda wenyewe!
Babu weye ni pilipili mbuzi eeeh ushafika mbali muone macho yake
kwani siku hizi walinzi si wanaishiaga getini?
sasa chumbani kwa bosi umefuata nini?
Hahahahahaah alafu kaka wetu full ulinzi...ajifanya kalala akiona wanataka kudoea tu huyo kaja...
Safiiiiiiii tena uje na bakora maana wengine vitangi lol