Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
ugali kachumbari..karibu tule
Naja, fasta! Nibakishie afu usisahau pilipili kwa wingi.
ugali kachumbari..karibu tule
Ulisafiri ukaenda wapi?
Naja, fasta! Nibakishie afu usisahau pilipili kwa wingi.
Nipo@valentina majukumu we acha tu si unajua first born walivo
poa....ndo kumekuchaa kokorikoooooonzuri tuu muungwana...habari yako?
poa....ndo kumekuchaa kokorikoooooo
We nawe na hizo pilipili mbuzi!!!Kumbe kimya chote hicho wala?.....
Mwenzio pishi la leo limenitoa machozi na kukohoa...
Hakuna naiburudisha nafsi yangu naona mpaka farkhina akirudi ntakuwa nshalala juu ya keyboard!kokorikuuuu..haya lete habari...
ndio upoje huu??hiyo tena!ila ugali wa mtama na mhogo...utaweza?
ndio upoje huu??
Nyimbo!!kuna nini humo?
Ahsante ndo nmeusikia leo...Nishakula ugali wa muhogo lakini si ulochanganywa na mtama!!karibu tule utauelewa..
mida yao bado...
Ahsante ndo nmeusikia leo...Nishakula ugali wa muhogo lakini si ulochanganywa na mtama!!
Naupenda huo na chukuchuku ya samaki mtamuu!!!!!Au uono ulokaushwa na nyanya,malimau na pilipili kisha ukapambiwa!!ugali wa muhogo?
du! we noma, kwa jinsi ninavyoufahamu.. ni majanga!
![]()
haa wewe ndo firstborn au unamuhudumia firstborn wako?
huo unaitwa udaga. kuna kipindi nilikuwa mwanza nilikuwa nafunga safari hadi mwaloni kuula na samaki wa kukaangaAhsante ndo nmeusikia leo...Nishakula ugali wa muhogo lakini si ulochanganywa na mtama!!