Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Mie huwa nakula ugali uliochanganywa unga wa Ngano+dona+muhogo...unakuwa mzuri sana yaan nikienda kwa watu au hotelini nikakutana na sembe au dona huwa sipati radha kabisa ya chakula.Mkoa niliopo mtama haupatikan ningeuongeza kwenye listi


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
itabidi niuonje huo...
 
Back
Top Bottom