Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
sawa vp lakini hali ? Nasikia ulitumwa chumvi ukaenda kimoja?
Nlidondosha hela njiani
sawa vp lakini hali ? Nasikia ulitumwa chumvi ukaenda kimoja?
Chumvi ikawa chumvini...?
Mmh mmh mmh mi sijui am anda eitini
Wabaya hao wanataka kukuza bure....
Shikamoo dada.
Marhabaa...
Ninamazungumzo na wewe.
Sema nakuskia...
Unatumia kinywaji gani kwanza?
Maji.....
Ninampango wa kufuga kanga ila sijajua kama mayai ya kanga yanawateja baada ya kukutana na wewe nikaona niombe ushauri kwako kwasababu unaonekana ni mtu makini.
Tumia mwenyeo tu...za kwangu zanitosha alhamdulillah..
Kuna watu humu bado?
Huwaoni apo juu mtu na dadake lol