Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Ahhhahhahah shosti huogopi?
Ukiambiwa urudishe hela za watu na ushazilia ubuyu je itakuaje?😉😉😉😉

Hahahahaaa nyama ya ulimi shosti...
Deal zote zinafanyika fb, nauza smile skype halafu cash mpesa teh.. farkhina
 
Last edited by a moderator:
Mwenzenu jirani ana mkesha. ...hivyo... Kn muziki Wa kufa ...Ki ukweli wananipa kampani ktk lindo ...ttz keleleeee......karibuni
 
mhhhhhh! kuna vijimambo humu.

Tunashea stress, utafiti unaonesha jf na social network nyingi zimepunguza sana
1. Homicide n suicide-watu wana platform ya kujieleza na kupata new ideas

2. Imepunguza masmbukizi ya ukimwi yani hakuna kuonana; mfano tu mi niwe na King'ast niko huku miguuni kwa dunia na yeye hukoooo...mpaka kupigana kibuti hatujaonana

So ni njema sana hii-les xhale
 
Last edited by a moderator:
Tunashea stress, utafiti unaonesha jf na social network nyingi zimepunguza sana
1. Homicide n suicide-watu wana platform ya kujieleza na kupata new ideas

2. Imepunguza masmbukizi ya ukimwi yani hakuna kuonana; mfano tu mi niwe na King'ast niko huku miguuni kwa dunia na yeye hukoooo...mpaka kupigana kibuti hatujaonana

So ni njema sana hii-les xhale

Kwa kweli maana usiku na mistress hii uwe mwenyewe na hamna vitu kama hivi unaweza ukapata ugonjwa wa moyo bure kama sio kufa..
Hilo la pili nalo linahusu...
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli maana usiku na mistress hii uwe mwenyewe na hamna vitu kama hivi unaweza ukapata ugonjwa wa moyo bure kama sio kufa..
Hilo la pili nalo linahusu...

Nimependa sentensi yako ya mwisho
 
Back
Top Bottom