Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

jamani mie pia nataka leo nikeshe hapa ila nina njaa sijui mmepika nini wapendwa?
 
na kuku wa kuokwa

kama hawa? 1386362719696.jpg
 
Halafu jana kwa kuwa nilivaa koti refu na kofia ndio ukajua mie wa kiumeee...
Zile zilikuwa mbinu tu za kiintelijensia ...mie mdada bwana lol Red Giant...leo kama jana...ila nna ahadi ya dompo kutoka kwa Jerrymsigwa...
Halafu leo mie mtandika mkeka na muondoa vyombo baada ya mlo...so itabidi niwe mpole...
hehehe unafahamu kwamba visichana ni konyagi za chupa ndogo?.
 
Back
Top Bottom