Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

ndio ntalisimamia lindo zote ila muambie farkhina asinipe maharage ntasinzia kama siku ile ukizingatia leo na lindo mbili..

leo sijui anapika nini yupo jikoni bado..
 
Last edited by a moderator:
Kila nikitaka kunyanyua mguu niondoke nashindwa..kuna mtu humu ndani kanifunga kamba!
 
mi nimekuja kusaini tu. nipo hapo baa ya jirani tunakunywa visichana na Nambe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom