Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

usijali kwa kua we ni mgeni msosi utapata kama kawaida endelea kuserebuka usiogope kwani ulinzi upo wa kutosha jiachie.

Mie ke billy ila mduara umenoga hapa mie stoki kama vp mnitoe kwenye mlo ila hapa labda mziki uzimwe lol
 
Last edited by a moderator:
usijali kwa kua we ni mgeni msosi utapata kama kawaida endelea kuserebuka usiogope kwani ulinzi upo wa kutosha jiachie.

Leo naserebuka kwa adabu kweli naona viroba hapa ila sigusi ng'o...manake j2 ile nlitupia kiroba nkaanza kusasambura kimbe Ngongoseke alikuwa anachungulia dirishani....leo full nidhamu
 
Last edited by a moderator:
Leo naserebuka kwa adabu kweli naona viroba hapa ila sigusi ng'o...manake j2 ile nlitupia kiroba nkaanza kusasambura kimbe Ngongoseke alikuwa anachungulia dirishani....leo full nidhamu

Hahaaaaa...we gusa uone balaa lake
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaa...we gusa uone balaa lake

Nimekoma shosti.....leo akha....
Kwanza hapa nna kazi ya kutunza kibarua..jana wakati patrol inapita sikuwa lindoni....sasa leo wakinikuta tungi nnalo.
 
nami siruhusiwi kuchagua pishi?

We utachagua kesho banah...leo mtupikie kande na mtori kwajil ya mgeni...alafu wenzio wamejibanza wapi leo? Ama ndo wanapiga mserebuko wa kimyakimya wenyewe...lol
 
Back
Top Bottom