Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Nasikia kahawa... ila mie hata ninywe chupa nzima nalala kama kawaida...

Hapa kwetu leo baridi iko 14c kuna ukungu huoni hata mita 20 mbele,police wa dharura wameshaingia mitaani,kama una gari basi speed isizidi 20kph
 

Attachments

  • 1386023838677.jpg
    1386023838677.jpg
    15.1 KB · Views: 42
  • 1386023854731.jpg
    1386023854731.jpg
    14.5 KB · Views: 43
Back
Top Bottom