Mr Penal Code
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 823
- 216
Haaaaaaa
nimefichwa wapi besti, mi nipo sana!
mibaridi tu yatutwanga huku!
mambo vipi lakini?
Pole na baridi best. Komaa ndo ukubwa
Soul ama heart?
Heri za sikukuu bwana. Sijakuona kitambo, hongera kwa kufichwa
but wewe si mkubwa mwenzangu!?
sasa mbona hujibu besti! watu wazima bana tuongelee pembeni ujue!
hebu fanya namna baridi ipungue, kiutu uzima zaidi!
Nami nimekumis wajina.much love swetie
Ha ha ha pole kwa kuchelewa kujibu!Btw i hate nobody!
Mambo yanakwendaje wajameni?
Una mipango gani ya mwaka mpya?Kama yalivyopangwa na kupangika
Una mipango gani ya mwaka mpya?
Sadakalawe..