Nawaaaga rasmi walinzi wote na fun wa hakuna kulala, sitakuwepo humu kwa mda wa siku kadhaa! Kila la kheri farkhina Valentina
@Nembe charminglady kipaji mimi49
Et al.,
Hahahahahahaha hujijui lol...
Alafu watu8 anavokutafuta mie nshachoka kelele zake mara weee umenionea wapi huyu mtu mara nimmemiss.....
Nimemwambia kuna mtu anamzuzua ndio mana katubwaga na swimming hadi leo hajatupeleka...🙄🙄🙄
pole mumii..mimi mwenyewe mgonjwa sana leo naelekea hospital,usiku mwema wapendwa your prayers please,
Watu washalala humu ndani?
Heeee waenda wapi tena? Au busy na wageni? Lol
Pole mgonjwa mwenzangu,nami ndo nalala,i hope prayers ya wadau yatatuinua tena mana nahis kufakufa apa.
Wale wagonjwa wanaendeleaje? Tunawaombea mpone haraka.
Yuko apo nje anapiga umbea,ila sasahiv ataingia ndani.
Habar ya wewe?
Yuko apo nje anapiga umbea,ila sasahiv ataingia ndani.
Nipo...hujambo?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Sijambo vp wewe mzima?