Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Nani yuko macho?
jana umenitosa au ulilala? Nilisubiria newz za bongo bila mafanikio
Nani yuko macho?
jana umenitosa au ulilala? Nilisubiria newz za bongo bila mafanikio
Waraka mwingine ulioandikwa katika lugha ya Kiswahili umechapishwa kwenye tovuti v2catholic.com... unataja majina ya Watanzania wawili kuwa wafanyabiashara wa dawa za kulevya.jana umenitosa au ulilala? Nilisubiria newz za bongo bila mafanikio
hee! Pole mpenzi kwa kukimbiza mwenge, umeenda hospital lakini?
Pole sana...
Waraka mwingine ulioandikwa katika lugha ya Kiswahili umechapishwa kwenye tovuti v2catholic.com... unataja majina ya Watanzania wawili kuwa wafanyabiashara wa dawa za kulevya.
Waraka huo wenye ulio na saini ya aliyejiita Jumaa, akiwa jela Hon Kong, tarehe 12 Desemba 2013 ni wa kurasa mbili zilizojaa maneno ya kujuta kwa kufanya kazi hiyo haramu, unaeleza mbinu mpya inayotumiwa na wafanyabiashara hao haramu kwa kuwatoa kafara Watanzania wanaokubali kuwa punda wa kubeba dawa hizo.
Mwishowe unatoa onyo kwa kila Mtanzania anayejiingiza katika biashara hiyo na kutoa wito wa kusambaza taarifa hii ili kuwaonya watu wengine wasithubutu kujiingiza katika biashara hiyo haramu.
Unaweza kubofya linki iliyopachikwa hapo juu (v2catholic.com...) kufungua na kusoma waraka huo.
Mke mwenza nashkur,kwasasa niko fiti
asante mwaya kwa kunipasha habari kumbe haya makitu bado yanaendelea tu!
Yaani ile nimejiandaa kuandika si wakakata umeme, bongo acha tu...leo umewahi kuamka
Sio mgao ilikua tatizo hapa home
Bado kabisa, suluhisho bado
ooh.... Basi pole, limeisha lakini?
Wanaishi kwa kuangalia tamthilia za ulayahaya maisha ya kupenda mteremko yatawacost vijana wa kibongo
Wanaishi kwa kuangalia tamthilia za ulaya
Nashkur sana,hatimae niko okey.
Mimi apa...kama kawaida
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums