Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Nimeingia home na nshatoka bafuni..foleni ya leo ilikuwa ni hatari tupu
 
hata mie naona sasa jamani mi nageuka upande wa pili nafumba macho ili nilale kuna kazi inabidi niifanye earl in the morning si mnajua tena.
Hope nkifumba macho usingizi nitala ngoja nkashii kwanza.
Kama vipi baadae

Powa powa usiku mwema kwako, sa9 hii then uanze kazi early in the morning??
 
Back
Top Bottom