Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Hujakosea amu hapa tunakaribisha wote walionuniwa usiku, wenye stress za kukosa usingizi nk..mpaka kunakucha

yaani huku sijui kuna wanga ikifika saa 6 au 7 usingizi mpaka saa kumi.Ngoja nikemee
 
Last edited by a moderator:

hata mie naona sasa jamani mi nageuka upande wa pili nafumba macho ili nilale kuna kazi inabidi niifanye earl in the morning si mnajua tena.
Hope nkifumba macho usingizi nitala ngoja nkashii kwanza.
Kama vipi baadae
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaaa hakuna shida niite Mwenyekiti au vyovyote tunaongeza maisha tu hapa badala ya kuwa na mawazo ya watu hao hao job/home

Leo huna mgeni? Maana wewe ukiwa na mgeni wasahau kibarua lol...
Mie mchokozi🙄🙄🙄🙄
 
yaani huku sijui kuna wanga ikifika saa 6 au 7 usingizi mpaka saa kumi.Ngoja nikemee

Dah afu tanesco wawe wamefanya yao..pole sana aisee! Mie nlishawahi kabwa nlipokuwa hukoo Mbeya sitasahau ilikuwa Jmosi usiku km leo
 
hata mie naona sasa jamani mi nageuka upande wa pili nafumba macho ili nilale kuna kazi inabidi niifanye earl in the morning si mnajua tena.
Hope nkifumba macho usingizi nitala ngoja nkashii kwanza.
Kama vipi baadae

ntakuamsha saa ngap vile?
 
Leo huna mgeni? Maana wewe ukiwa na mgeni wasahau kibarua lol...
Mie mchokozi🙄🙄🙄🙄

Yani wewe nawe!! Utakuaje na mgeni then uko busy na simu? Sina mgeni labda usiku wa xmas 😆😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom