Uko sahihi kabisa.Hakukuwa na haja ya chadema kwenda mahakamani kwa maoni yangu.chadema kwenda mahakamani wanajiingiza kwenye mtego.kesi itachukua 5 year
Uhalali wa nini tena jamaa yetu?Vipi kama ikionekana Chadema hawakupeleka majina? Uhalali utatoka wapi?
Maelezo yako ni butu, hayana mantiki kabisa. Kwa hiyo mtu akipigwa risasi akapona alafu hauzulii bungeni aachwe tu? Wakati anafanya ziara Ulaya na Usa? Kisa nini? Jikite kwenye mada toa pumba zako.Kama mtu alichapwa risasi 30 na bado akafukuzwa ubunge na mahakama ikabariki unadhani ni kipi kingine ambacho hawawezi kufanya?
Jombaa mm binafsi nakuelewa vizuri sana. Kwa kumzibitishia huyo ndugu kwa hizo tarehe na yeye kustick kwenye ushahidi wa gazeti la mwanachi!! Ni vyema ukatupia kakideo ka mahela akitoa ufafanuzi kwa hayo mambo.Ukumbuke kuwa Mtendaji Mkuu wa NEC, tarehe 23 alisema hawajapokea majina toka CHADEMA. Tarehe 23 ni kabla au baada ya tarehe 19?
Sent using Jamii Forums mobile app
Je unaweza kuthibitisha kwamba saini ilifojiwa!? Hata hivyo, umetoka njenya wazo kuu, ambalo ni kwamba huoni kitendo cha wanachama wenu 19 kuridhia kuunga mkono juhudi, vyovyote vile, ni ishara kukataa ubabe usio na tija wa chama chako!!?Kwa hiyo kama walikuwa wanatendewa dhuluma kama unavyodai, ndio wafoji saini kuonesha kuwa katibu mkuu wa chama ameidhinisha!? Vipi Nusrat Hanje naye alitolewa gerezani na Chadema ili kufanikisha naye awe mbunge!?
Mkuu umetutendea haki mkuu ubarikiwe.Pale NEC inahusika na huu uchafuzi 100%.sijaelewa mantiki ya NEC kubishana na uongozi wa chadema kuhusu viti maalumu.Walipaswa kuwasikiliza maana ndo wenye wabungeHuu mjadala ni wa kitoto sana.
Wakati uchaguzi unaanza tulishuhudia wanachama wa CHADEMA wakilalamika kwa wakurugenzi wa uchaguzi kunyimwa fomu kwa kile kinachodaiwa kuwa wameshachukua fomu ya ubunge kwenye majimbo X. Hivyo wakurugenzi wa uchaguzi hawatoi fomu hiyo tena kwa wagombea wa CHADEMA.
Waliochukua fomu walidaiwa kuwa walifika kwenye ofisi za wakurugenzi wa uchaguzi wakiwa na barua za CHADEMA zilizogongwa mhuri wa katibu wao wa jimbo/mkoa.
Hili sakata liliwakumba wagombea kadhaa wa udiwani kupitia CHADEMA, siwakumbuki kwa majina nafikiri baadhi ya majimbo ni Ubungo na Kibamba.
Je kesi hizi ziliishaje? Wale wagombea feki walichukuliwa hatua gani ? Barua zenye mihuri ya CHADEMA walipewa na nani?
Mwishoni wagombea halali walipewa fomu kwa amri kutoka juu nafikiri. Ni NEC waliona mapungufu hayo nchi nzima au nani alitoa suluhisho sikumbuki.
Kilikuwa ni kituko kwa wakurugenzi kuwanyima fomu wagombea kwa kisingizio cha kuwa tayari mwanachama wao ameshachukua fomu tena kwa barua halali ya uteuzi kutoka kwenye chama chao wenyewe.
Sasa turudi kwenye hili. NEC wamepokea barua halali kutoka kwa Mnyika. Mnyika anasemaje? Kama anakataa, je alazimishwe kuwa aliandika? Kama barua ilikuwa feki kwa nini NEC isikubali yaishe na wakisikilize chama cha CHADEMA ili haki itendeke. Barua halali ya majina halali ipelekwe NEC. Kama CHADEMA hawataki kupeleka majina, je walazimishwe?
Kama wasipopeleka majina, Je sheria au Katiba inasemaje kuhusu hilo.
Imefikia kipindi kila chombo kifanye jukumu lake na kiache ubabaishaji. Nchi hii ina wasomi na ni aibu kuonekana kituko kwa mambo yanavyofanyika bila weledi.
Kuwa mzalendo ni pamoja na kusema ukweli sio kutetea ubabaishaji hata kama ni kwa manufaa yako.
Asalaam
Wenye kosa ni NEC, wao migogoro ya ndani haiwahusu walipaswa kucheki na mnyika.Je unaweza kuthibitisha kwamba saini ilifojiwa!? Hata hivyo, umetoka njenya wazo kuu, ambalo ni kwamba huoni kitendo cha wanachama wenu 19 kuridhia kuunga mkono juhudi, vyovyote vile, ni ishara kukataa ubabe usio na tija wa chama chako!!?
Hapana mkuu, utaratibu kwa Sasa ni spika kuitaarifu tume juu ya wabunge hao kukosa sifa ya kikatiba ya kuwa na chamaNadhani CDM wanapaswa kuiandikia NEC barua kuijulisha kwamba hao wabunge wamepoteza sifa za kuendelea kuwa wabunge sababu wamefukuzwa chama.
Halafu NEC ndio walijulishe bunge.
Kuwapongeza kina mdee kwa uasi ndani ya chama Chao ni kukosa uzalendo.Mwanachama yeyote anapaswa kuheshimu taratibu za vyama vyaoUsisahau kuwaza pia kwamba ile "Team 19," akiwemo yule mbunge wa zamani kindakindaki wa Kawe wangeweza kuunga mkono juhudi kweli, tena kirahisi hivyo, tena haraka hivyo??? Najaribu tu kukuwazisha na hili usilisahau!? In fact, hatua ya Mr Spika ya kuwatetea inapaswa kupongezwa sana kwa sababu ya uthubutu wa akina dada hawa, dhidi ya "hujuma & rafu" (kama si kiinimacho) ambazo kidogo watendewe.
Mwambie mama yako na mapaja yake .Maelezo yako ni butu, hayana mantiki kabisa. Kwa hiyo mtu akipigwa risasi akapona alafu hauzulii bungeni aachwe tu? Wakati anafanya ziara Ulaya na Usa? Kisa nini? Jikite kwenye mada toa pumba zako.
Nisamehe mkuu umeanza kuniprovoke but never did I intend to abuse your mm.
Ninavyofahamu CDM wakiwavua uanchama wanatakiwa kulitaarifu Bunge na/au NEC hatimaye Spika huijulisha NEC kuhusu nafasi wazi za mbunge/wabunge kwa sifa ya kukosa chama.Nadhani CDM wanapaswa kuiandikia NEC barua kuijulisha kwamba hao wabunge wamepoteza sifa za kuendelea kuwa wabunge sababu wamefukuzwa chama.
Halafu NEC ndio walijulishe bunge.
Nakunukuu:"NEC wanasema Mnyika kama katibu mkuu aliwapelekea majina tena yaliyopewa baraka na kamati kuu ya Chadema"
Sasa mkuu kama NEC wanadai ya kwamba wamepokea majina kutoka chadema yenye baraka za kamati kuu,kwani kikao cha kamati kuu kinaweza kufanyika kwa kificho?Kuna kikao cha kamati kuu cha chadema ambacho kimewahi kukaa?Si lazima taarifa zingevuja ya kwamba kuna kikao cha kamati kuu kilikaa?
Na CC inasema hapana hatujapitisha majina... na Kwanza hivi majina yao yalitoka kwenye gazeti gani la serikali
Mkuu mbona unahangaika?
Hivi ni nani mwenye uwezo wa kwenda kumtoa mahabusu na kuamuru kesi ifutwe kati ya chadema spika na neki?....