Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,401
Tutajuaje au tutaamini vipi kuwa haya madai yako ni ya kweli?Kati ya wale wabunge 19 kuna mbunge mmoja alipigiwa simu na kiongozi mkubwa wa chadema na alimwambia wamepata nafasi 19 but watachaguliwa kwa kanda because viti ni vichache sana
Hiyo ilikuwa ni 2 weeks before sakata lote kutokea so maybe chadema walikubaliana kukubali au ni kweli walipeleka