Shauri Na. 36/2022 la Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA, Spika wa Bunge la JMT & NEC. Ni nini madai yao?

The Palm Beach

JF-Expert Member
Dec 30, 2015
804
1,643
✓ Dai lao kuu ni kuiomba mahakama ipitie mchakato wote wa CHADEMA kuanzia ndani ya KK na kisha BK wa kuwafuta/kuwafukuza uanachama ili mahakama ijiridhishe iwapo CHADEMA walifuata taratibu na sheria (katiba yao) ama laa...

✓ Wanasema, mahakama ikiona hawakutendewa haki (utaratibu haukufuatwa) kwa mujibu wa ushahidi watakaotoa, basi mahakama itoe amri (hukumu) tatu (3) zifuatazo kuwapendelea wao;

1. Mahakama itengue (ifute) mchakato na uamuzi wa CHADEMA kuwafukuza/kuwafuta uanachama uliofanywa na KK na BK...

2. Mahakama itoe amri ya kuilazimisha CHADEMA kutimiza wajibu wake kisheria wa kuwapa nafasi ya kusikilizwa wakijitetea dhidi ya mashitaka ya tuhuma zao chamani...

3. Mahakama itoe amri kwa Spika wa Bunge la JMT na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutochukua hatua zozote dhidi ya ubunge wao hadi malalamiko yao yatakaposikilizwa...

## Wanasheria mnayaonaje madai ya kina mama hawa katika jicho la kisheria hasa namba 3....?

## Na hivi ni kweli hawa watu hawakupewa nafasi ya kujitetea ili wasikilizwe kabla ya wanachama wenzao kupitia vikao vyao vya KK na BK hawajachukua maamuzi ya kuwafukuza..?

## Uhalali wa ubunge wao unatoka wapi kiasi cha kuudai mahakamani iwapo chama chao hakiwatambui na hakijawahi kushiriki ktk mchakato wa kuwateua kwa kadiri ya sheria na katiba ya JMT inavyotaka..?

## Kwa kigezo hicho hapo juu, ndugu mchangiaji unadhani ni nini itakuwa ni turning point ya kesi hii...?

## Nani atafungua "Pandora Box" la siri ya ubunge wa kina mama hawa? Je, ni CHADEMA? NEC? au Spika wa Bunge Ndugai/Dr Tulia...?

## Ni nani watawakiwa na "JUA KALI" kati ya NEC, BUNGE na CHADEMA wenyewe juu "utata wa ubunge" wa kina mama hawa kiasi cha kusababisha wapoteze uanachama wao ndani ya CHADEMA na kuzua sokomoko hili linaloendelea sasa huku mahakama ikijaribu kusawazisha mambo..?

NOTE:
Vifupisho hivi vinasimama badala ya maneno:

KK = KAMATI KUU..

BK = BARAZA KUU
 
✓ Dai lao kuu ni kuiomba mahakama ipitie mchakato wote wa CHADEMA kuanzia ndani ya KK na kisha BK wa kuwafuta/kuwafukuza uanachama ili mahakama ijiridhishe iwapo CHADEMA walifuata taratibu na sheria (katiba yao) ama laa...

✓ Wanasema, mahakama ikiona hawakutendewa haki (utaratibu haukufuatwa) kwa mujibu wa ushahidi watakaotoa, basi mahakama itoe amri (hukumu) tatu (3) zifuatazo kuwapendelea wao;

1. Mahakama itengue (ifute) mchakato na uamuzi wa CHADEMA kuwafukuza/kuwafuta uanachama...

2. Mahakama itoe amri ya kukilazimisha CHADEMA kutimiza wajibu wake kisheria wa kuwapa nafasi ya kusikilizwa wakijitetea dhidi ya mashitaka ya tuhuma zao chamani...

3. Mahakama itoe amri kwa Spika wa Bunge la JMT na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutochukua hatua zozote dhidi ya ubunge wao hadi malalamiko yao yatakaposikilizwa...

## Wanasheria mnayaonaje madai ya kina mama hawa katika jicho la kisheria hasa hasa la mwisho....?

## Na hivi ni kweli hawa watu hawakupewa nafasi ya kujitetea ili wasikilizwe kabla ndugu za hawajachukua maamuzi ya kuwafukuza..?

## Uhalali wa ubunge wao unatoka wapi kiasi cha kuudai mahakamani iwapo chama chao hakiwatambui na hakijawahi kushiriki ktk mchakato wa kuwateua kwa kadiri ya sheria na katiba ya JMT inavyotaka..?

## Kwa kigezo hicho hapo juu, ndugu mchangiaji unadhani ni nini itakuwa ni turning point ya kesi hizi? CHADEMA watafungua "Pandora Box" la siri hizi..?

## Ni nani watawakiwa na "JUA KALI" kati ya NEC, BUNGE na CHADEMA wenyewe juu "utata wa ubunge" wa kina mama hawa kiasi cha kusababisha wapoteze uanachama wao ndani ya CHADEMA na kuzua sokomoko hili linaloendelea sasa huku mahakama ikijaribu kusawazisha mambo..?

NOTE:
Vifupisho hivi vinasimama badala ya maneno:

KK = KAMATI KUU..

BK = BARAKA KUU
HATA kama Chadema haikufuata taratibu za kuwafukuza Je Uteuzi wao wa kuomba Ubunge Ulifuata Sheria na Taratibu kwa Mujibu wa Sheria mpaka Kuapishwa?
 
✓ Dai lao kuu ni kuiomba mahakama ipitie mchakato wote wa CHADEMA kuanzia ndani ya KK na kisha BK wa kuwafuta/kuwafukuza uanachama ili mahakama ijiridhishe iwapo CHADEMA walifuata taratibu na sheria (katiba yao) ama laa...

✓ Wanasema, mahakama ikiona hawakutendewa haki (utaratibu haukufuatwa) kwa mujibu wa ushahidi watakaotoa, basi mahakama itoe amri (hukumu) tatu (3) zifuatazo kuwapendelea wao;

1. Mahakama itengue (ifute) mchakato na uamuzi wa CHADEMA kuwafukuza/kuwafuta uanachama...

2. Mahakama itoe amri ya kukilazimisha CHADEMA kutimiza wajibu wake kisheria wa kuwapa nafasi ya kusikilizwa wakijitetea dhidi ya mashitaka ya tuhuma zao chamani...

3. Mahakama itoe amri kwa Spika wa Bunge la JMT na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutochukua hatua zozote dhidi ya ubunge wao hadi malalamiko yao yatakaposikilizwa...

## Wanasheria mnayaonaje madai ya kina mama hawa katika jicho la kisheria hasa hasa la mwisho....?

## Na hivi ni kweli hawa watu hawakupewa nafasi ya kujitetea ili wasikilizwe kabla ndugu za hawajachukua maamuzi ya kuwafukuza..?

## Uhalali wa ubunge wao unatoka wapi kiasi cha kuudai mahakamani iwapo chama chao hakiwatambui na hakijawahi kushiriki ktk mchakato wa kuwateua kwa kadiri ya sheria na katiba ya JMT inavyotaka..?

## Kwa kigezo hicho hapo juu, ndugu mchangiaji unadhani ni nini itakuwa ni turning point ya kesi hizi? CHADEMA watafungua "Pandora Box" la siri hizi..?

## Ni nani watawakiwa na "JUA KALI" kati ya NEC, BUNGE na CHADEMA wenyewe juu "utata wa ubunge" wa kina mama hawa kiasi cha kusababisha wapoteze uanachama wao ndani ya CHADEMA na kuzua sokomoko hili linaloendelea sasa huku mahakama ikijaribu kusawazisha mambo..?

NOTE:
Vifupisho hivi vinasimama badala ya maneno:

KK = KAMATI KUU..

BK = BARAKA KUU
Swali hilo ni gumu sana kwani CCM walishapanga kitambo na kudhamiria kuwa iwe mvua liwe jua watawalinda ona mchakato wa Uchaguzi kuanzia Serikali za Mitaa hadi Uchaguzi Mkuu.
 
✓ Dai lao kuu ni kuiomba mahakama ipitie mchakato wote wa CHADEMA kuanzia ndani ya KK na kisha BK wa kuwafuta/kuwafukuza uanachama ili mahakama ijiridhishe iwapo CHADEMA walifuata taratibu na sheria (katiba yao) ama laa...

✓ Wanasema, mahakama ikiona hawakutendewa haki (utaratibu haukufuatwa) kwa mujibu wa ushahidi watakaotoa, basi mahakama itoe amri (hukumu) tatu (3) zifuatazo kuwapendelea wao;

1. Mahakama itengue (ifute) mchakato na uamuzi wa CHADEMA kuwafukuza/kuwafuta uanachama...

2. Mahakama itoe amri ya kukilazimisha CHADEMA kutimiza wajibu wake kisheria wa kuwapa nafasi ya kusikilizwa wakijitetea dhidi ya mashitaka ya tuhuma zao chamani...

3. Mahakama itoe amri kwa Spika wa Bunge la JMT na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutochukua hatua zozote dhidi ya ubunge wao hadi malalamiko yao yatakaposikilizwa...

## Wanasheria mnayaonaje madai ya kina mama hawa katika jicho la kisheria hasa hasa la mwisho....?

## Na hivi ni kweli hawa watu hawakupewa nafasi ya kujitetea ili wasikilizwe kabla ndugu za hawajachukua maamuzi ya kuwafukuza..?

## Uhalali wa ubunge wao unatoka wapi kiasi cha kuudai mahakamani iwapo chama chao hakiwatambui na hakijawahi kushiriki ktk mchakato wa kuwateua kwa kadiri ya sheria na katiba ya JMT inavyotaka..?

## Kwa kigezo hicho hapo juu, ndugu mchangiaji unadhani ni nini itakuwa ni turning point ya kesi hizi? CHADEMA watafungua "Pandora Box" la siri hizi..?

## Ni nani watawakiwa na "JUA KALI" kati ya NEC, BUNGE na CHADEMA wenyewe juu "utata wa ubunge" wa kina mama hawa kiasi cha kusababisha wapoteze uanachama wao ndani ya CHADEMA na kuzua sokomoko hili linaloendelea sasa huku mahakama ikijaribu kusawazisha mambo..?

NOTE:
Vifupisho hivi vinasimama badala ya maneno:

KK = KAMATI KUU..

BK = BARAKA KUU
Badala ya BARAKA KUU iwe BARAZA KUU, itapendeza.
 
Hao ni wachumia tumbo waliohonga utu wao na kujiuza wao na akili zao.

Kwa ufupi ni kundi la wajinga waliofugwa bila kujulikana, wamejijulisha wao wenyewe kwa kujiuza mwili na akili zao wakiongozwa na msagaji wao yule
Halafu Jaji atangaze Bei ya Unga wa sembe isizidi tsh 1000/= hadi 2025
 
Halafu Jaji atangaze Bei ya Unga wa sembe isizidi tsh 1000/= hadi 2025
Dharau hizi zinakunufaishaje binafsi? Hakika una ubongo wa ng'ombe! Kwenye hoja ngumu unaingiza utoto wako. Kama huna majibu soma na upite TU na huo ni ugt unakoapply! Kua basi wewe kikongwe!
 
Acha umbwiga wewe

Taifa lina mambo muhimu ya kufanya siyo hii ujinga wa wabunge wenu hapo Ufipa st!
Wewe huna tofauti na kinu Kila siku kutwangwa TU na hakijitetei! Zile zama za serikali inafanya hili na lile si mmelihamisha na Sasa mnasema mama katoa pesa as if kazitoa kwenye kipochi chake!
Unafeli Sana MLA mbwa wewe! Hakuna Cha mambo muhimu Bali ufisadi muhimu Kwa Sasa!
 
Back
Top Bottom