Mkuu badilisha na useme "Nani kugombea kupitia ccm"Maana kusema ukweli mpaka hivi sasa hatuoni mtu yeyote wala dalili yeyote kama ilivyokua wakati kikwete akitarajiwa kuingia na jinsi mambo yalivyo tight,sijui nani atafaa?
kama unajua tafadhali niambie
Maana kusema ukweli mpaka hivi sasa hatuoni mtu yeyote wala dalili yeyote kama ilivyokua wakati kikwete akitarajiwa kuingia na jinsi mambo yalivyo tight,sijui nani atafaa?
kama unajua tafadhali niambie
DR Salim A Salim kugombea,naomba kutoa hoja!Wanaoafiki waseme ndiyooooooooo!
Atakua riziwan jakaya mrisho kikwete.
Ni mheshimiwa Edward Ngoyai Laigwenan Lowasa.
Hatutaki tena RAIS kupitia CCM maana wameshindwa. CCM haiwezi tena kuwa na kiongozi mzuri. Tumechoka na kujaribu jaribu kupitia CCM. CCM inaongozwa na genge lililojihami kulinda uozo wa walioiba na wanaoendele kuiba. Tunahitaji mabadiriko ata tukimuweka paka amabaye tunajua akituchukiza tutamtimua. We dont need CCM once more, we need CHANGEEEEEEEEEEEES. HALI NI MBAYA.