singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,531
Kwa hali tuliyona taifa letu linayumba watu hawafanyi kazi,uadirifu hakuna nafasi za kazi tangu ngazi ya uwaziri in kujuana name urafiki,usimamizi mzuri na uchapa kazi kwa faida ya watanzania hakuna.
He kati ya Hawa nani anaweza kuyakomesha Haya ambayo ni Kero kwa watanzania?
1,JAJI RAMADHANI
2,MAGUFULI
3,LOWASA
Umekosea kumuweka lowasa ondoa jina la lowasa muweke mwandosya