wanajamii forum naomba niwaulize na mnijibu kiufasaha kuna kitu mpaka sasa sikielewi kuhusu nani anayefaa hasa kuwa rais wa nchi hii mwakani kwani cabinet yote ya ccm kwa sasa inaonekana kuwa na dosari na hata ukikuta asiye na dosari basi uwezo wake ni mdogo najua tunawafahamu wanaodhaniwa sasa kama wosomi ambao ndio sisi sote nani atatufaa ki ukweli
Aliyekudanganya Watanzania ni wajinga mpaka wairudishe tena mijizi ya Ccm ni nani?
Rais bora lazima atatoka CCM na si mwingine ni STEVENE WASSIRA
Msitanganyike Rais wa nchi hii hawezi kutoka upinzani.Upinzani bado hawana uwezo wa kuongoza nchi.
Rais ajae ni mh Edward Ngoyai Lowassa
T2015 ENL