KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,709
- 4,430
Nafikiri lilikua swali la ghaflaShida gulu ni kiongozi na inabidi awe makin Sana Mana yeye Ni Kama msumari uliojitokeza Ni rahisi kupigwa nyundo.
Litajibiwa tena
Nafikiri lilikua swali la ghaflaShida gulu ni kiongozi na inabidi awe makin Sana Mana yeye Ni Kama msumari uliojitokeza Ni rahisi kupigwa nyundo.
Aki expose hiyo support yangu anayo.It's a wild card na sijui kama itaisha vizuri kama wataendelea kuikomalia. Ni misheni within misheni
Wizara nyeti kama hii anapewa mhuni kuiongoza! Rais naye ana matatizo
Huyo Mwigulu ana nafuu kuliko tunayemshitakia!Huyu Waziri atatugharimu sana.
Mungu ampe Mama hekima afanye jambo kwaajili ya Mwigulu
Ye Mwigululu ndo kazi yake inayo Mfanya atembelee V8.Watu wanafki sana humu
Ukiwadaka tu ghafla uwaulize kirefu hata cha NHIF ama UNESCO
Mwigulu ana afadhali
But Kuna shida pale ambayo co ndogoNafikiri lilikua swali la ghafla
Litajibiwa tena
Who will take the fall!?..Aki expose hiyo support yangu anayo.
yayayayayayayayayayayayayayayaaaaa
A thief was stuttering for no reason. Failed to explain simple issue like that one has given me a reason to say Mwigulu Nchemba is not deserving to be even chairman of ten house.
Ata tukimuita kunguru ni sawa to..Ni Mwigulu sio Mwiguru
hapana si katika hili. aliyetengeneza hiyo clip alikata maelezo baada ya hizo ya ya ya ya, alifafanua vizuri mpaka mwisho ndipo spika akasema sawa nimeelewa. huyo aliyekata maelezo ya katikati si mtu mwema, alipaswa aweke jibu lote la mwigulu. mnyonge mnyongeni.....Mkuu unajua fika ukifanya mtihani na ku_fail haiwezi kuwa sawa na winner re seater paper.
So tunajadiliana why first paper achemke kwa namna hiyo?.
🤣Ata tukimuita kunguru ni sawa to..