dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Salaam Wakuu,
Nimeshangaa kuona Paul Makonda kubadili gia angani. Alipoanza kujitangaza, alikuwa akiwasimamisha Mawaziri watoe ufafanuzi na Wengine alikuwa akiwapigia simu akiwa majukwaani huku akisema Mawaziri mizigo siku zao zinahesabika.
Alifika mbali na kuwataka Mawaziri wawe wanatuma Ripoti kwake kila mwisho wa mwezi kuonesha nini wamefanya, atakayeahindwa ajihesabu kazi imemshinda.
Ni Hussein Bashe tu aliyemjibu kwamba yeye anawajibika kwa watu Wanne, rais, makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Makami waziri Mkuu
Jana Paul Makonda akiongea na Wanahabari pale Lumumba alikuwa kapoa sana. Nilishangaa kuona akisia Wizara na kuwasifia Mawaziri.
Nini kimemkuta Makonda? Mbona mapema sana kawa mpole?
Au kaachana na mbio za kuutaka ukatibu Mkuu wa CCM?
Nimeshangaa kuona Paul Makonda kubadili gia angani. Alipoanza kujitangaza, alikuwa akiwasimamisha Mawaziri watoe ufafanuzi na Wengine alikuwa akiwapigia simu akiwa majukwaani huku akisema Mawaziri mizigo siku zao zinahesabika.
Alifika mbali na kuwataka Mawaziri wawe wanatuma Ripoti kwake kila mwisho wa mwezi kuonesha nini wamefanya, atakayeahindwa ajihesabu kazi imemshinda.
Ni Hussein Bashe tu aliyemjibu kwamba yeye anawajibika kwa watu Wanne, rais, makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Makami waziri Mkuu
Jana Paul Makonda akiongea na Wanahabari pale Lumumba alikuwa kapoa sana. Nilishangaa kuona akisia Wizara na kuwasifia Mawaziri.
Nini kimemkuta Makonda? Mbona mapema sana kawa mpole?
Au kaachana na mbio za kuutaka ukatibu Mkuu wa CCM?