Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,599
- Thread starter
- #81
UsijaliIf that So.. It’s Okay. chamsingi ni yeye kuwa huru na wewe unachokifanya.. zaidi ya hapo mengine ni maono tu.
UsijaliIf that So.. It’s Okay. chamsingi ni yeye kuwa huru na wewe unachokifanya.. zaidi ya hapo mengine ni maono tu.
Mwenzangu anaonekana well off.Ahaahahahah jamani Docta ulimwengu huyu mzuri mno naeView attachment 686200
Kwahiyo unakili kuwa wewe ni NUNGA???[emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Kweli kabisa, mbona wao huwa wanatupia picha za wanawake wakali sie hatujanuna jamani!!
Sasa mtu kutupia picha wanakereka!! Au wana interest zao hivyo inawauma!!!
Brand meneja wa Idriss Sultansamahani naomba kujua huyo jamaa ni nani!?...
Mama sabrina mie nipo nyuma yako nikishika hata mguu ntasuuzika😀😉
Heheheheeh ngoja tuwakere zaidii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tupia nyingine!
Wao wakiwema picha za wanawake wazuri huwa sioni povu ila hapa utaitwa majina yote.
Wasikulaumu wewe!
Nakuona nakuona nakuona mama sabrinaView attachment 686128 Kiutani utani fanya kama utani utani,
Utani utani tu [emoji23][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Au ni yule jamaa wa barua ya wazi kwako Dec mwaka jana ameona humpi attention? Kazi unayo. Halafu ukute ndo amekufa ameoza, utatumiwa radi ikumalize [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Heheheheeh ngoja tuwakere zaidii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Picha tu mtu anakereka kweli akiona video je
Mwifwa natukanwa kisa docta jamaniNakuona nakuona nakuona mama sabrina
Ahahahahahah hata simkumbuki hata jina aiseeAu ni yule jamaa wa barua ya wazi kwako Dec mwaka jana ameona humpi attention? Kazi unayo. Halafu ukute ndo amekufa ameoza, utatumiwa radi ikumalize [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ivi tusi linaweza kuumiza kweli?Mwifwa natukanwa kisa docta jamani
Mwifwa leo asubuhi docta kanipigia ,akanikiss mwaaah hahaha naumiaje sasa kwa mfano nilivyo na raha moyoniIvi tusi linaweza kuumiza kweli?
Wanaume wakati mwingine tunayo shida. Lakini kutoswa kubayaaaa, kunauma mno. Nahisi jamaa ashawahi kurusha mshipi ukaukwepa. He's to live with it anyway....Ahahahahahah hata simkumbuki hata jina aisee
Wanitupie tu radi mie
Ahaaaaaa wajaribu tenaaaWanaume wakati mwingine tunayo shida. Lakini kutoswa kubayaaaa, kunauma mno. Nahisi jamaa ashawahi kurusha mshipi ukaukwepa. He's to live with it anyway....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]samahani naomba kujua huyo jamaa ni nani!?...
Mama sabrina mie nipo nyuma yako nikishika hata mguu ntasuuzika😀😉
Ahahahahaha unanifurahisha sanaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hongera sana.Mwifwa leo asubuhi docta kanipigia ,akanikiss mwaaah hahaha naumiaje sasa kwa mfano nilivyo na raha moyoni