Kampuni ya Kiwi Shoe Polish Mjitafakari

Kampuni ya Kiwi Shoe Polish Mjitafakari

Chrysanthemum

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2016
Posts
1,908
Reaction score
6,895
Tuko mwaka 2026 jamani, lakini Kiwi shoe polish bado manatuuzia makopo yanayofunguliwa kama vile ni mtihani wa mwisho! 😂

Simu zimekuwa smart, magari yanajiendesha yenyewe, AI inafanya vitu vya ajabu… lakini huo mkebe wenu kufungua ni kama unafanya mtihani wa practical
Kwanini Kiwi msijaribu mbinu mpya wateja wenu wakubwa ni wanafunzi au ni kwamba hii mikebe mlitengeneza hadi 2030.

Yaan hako Kakitu kakivunjika ndo kipengele kinaanza 🤣 ni either ugonge huo mkebe chini unaanza na kiwi iliyomwagika baada ya hapo utakua unatumia vipande vipande

Labda the manufacturer wanted to maintain originality, security, patience and 'carefulness in one product ila sasa hapana

Niko nabrushia watoto hapa waende kanisani
muwe na Dominika njema 🤣 Utani wa Jumapili
1000393111.jpg
 
Tuko mwaka 2026 jamani, lakini Kiwi shoe polish bado manatuuzia makopo yanayofunguliwa kama vile ni mtihani wa mwisho! 😂

Simu zimekuwa smart, magari yanajiendesha yenyewe, AI inafanya vitu vya ajabu… lakini huo mkebe wenu kufungua ni kama unafanya mtihani wa practical
Kwanini Kiwi msijaribu mbinu mpya wateja wenu wakubwa ni wanafunzi au ni kwamba hii mikebe mlitengeneza hadi 2030.

Yaan hako Kakitu kakivunjika ndo kipengele kinaanza 🤣 ni either ugonge huo mkebe chini unaanza na kiwi iliyomwagika baada ya hapo utakua unatumia vipande vipande

Labda the manufacturer wanted to maintain originality, security, patience and 'carefulness in one product ila sasa hapana

Niko nabrushia watoto hapa waende kanisani
muwe na Dominika njema 🤣 Utani wa Jumapili
View attachment 3622821
Ni majuzi tu kamevunjika, ilibidi nianze kuchokonoa na bisibisi kukifungua.😆
 
Ni kweli. Kiwi changamoto yake kubwa ni kwenye hiyo kitu ya kufungulia, mara nyingi siyo imara. Inakàtika au chomoka na kuleta usumbufu wakati wa kufungua mkebe. Wanatakiwa waboreshe hapo.
 
Tuko mwaka 2026 jamani, lakini Kiwi shoe polish bado manatuuzia makopo yanayofunguliwa kama vile ni mtihani wa mwisho! 😂

Simu zimekuwa smart, magari yanajiendesha yenyewe, AI inafanya vitu vya ajabu… lakini huo mkebe wenu kufungua ni kama unafanya mtihani wa practical
Kwanini Kiwi msijaribu mbinu mpya wateja wenu wakubwa ni wanafunzi au ni kwamba hii mikebe mlitengeneza hadi 2030.

Yaan hako Kakitu kakivunjika ndo kipengele kinaanza 🤣 ni either ugonge huo mkebe chini unaanza na kiwi iliyomwagika baada ya hapo utakua unatumia vipande vipande

Labda the manufacturer wanted to maintain originality, security, patience and 'carefulness in one product ila sasa hapana

Niko nabrushia watoto hapa waende kanisani
muwe na Dominika njema 🤣 Utani wa Jumapili
View attachment 3622821
uko sahihi,

in fact hata ile ya KIWI ya maji, kile kisponchi kinachomoka haraka na mapema mno wakati rangi bado ni nyingi kwenye chupa,
na kulazimika kutumia labda kitambaa kung'arisha kiatu, kitu ambacho matokeo yake ni kujifua mikono na kila mahali matone ya rangi yanapodondokea ,

nadhani ni muhimu kubadilika na kuongeza ubora na uimara wa vifungashio hivyo :NoGodNo:
 
Safi sana kwa kuwaandaa watoto waende kanisani
Unaonekana very responsible kiwi tumekusikia kuanzia mwakani tunakuja na mikebe ya kufungua kama mafuta ya kupaka ya baby care
 
Kibandike na super glue utatumia hadi uchoke mi hufanya hivyo
 
Nadhani tayari wanaifanya kama identity kwao 😂…ila wamesustain sana
 
Mbona kiwi wamebadilika ni wewe tu uchaguzi wako unataka ya maji ya kwenye kopo au hicho cha bati
 
Tuko mwaka 2026 jamani, lakini Kiwi shoe polish bado manatuuzia makopo yanayofunguliwa kama vile ni mtihani wa mwisho! 😂

Simu zimekuwa smart, magari yanajiendesha yenyewe, AI inafanya vitu vya ajabu… lakini huo mkebe wenu kufungua ni kama unafanya mtihani wa practical
Kwanini Kiwi msijaribu mbinu mpya wateja wenu wakubwa ni wanafunzi au ni kwamba hii mikebe mlitengeneza hadi 2030.

Yaan hako Kakitu kakivunjika ndo kipengele kinaanza 🤣 ni either ugonge huo mkebe chini unaanza na kiwi iliyomwagika baada ya hapo utakua unatumia vipande vipande

Labda the manufacturer wanted to maintain originality, security, patience and 'carefulness in one product ila sasa hapana

Niko nabrushia watoto hapa waende kanisani
muwe na Dominika njema 🤣 Utani wa Jumapili
View attachment 3622821
The living brand.. Ni kama kalamu ya bic tuu
s-l1200.jpg
 
Simu zimekuwa smart, magari yanajiendesha yenyewe, AI inafanya vitu vya ajabu…
Hapo ni sawa sawa useme kampuni ya Michelin ijitafakari tumechoka matairi ya rubber sasa tunataka matairi ya chuma sababu zama zimebadirika barabara ni za zege na chuma inatembea juu ya zege
 
Back
Top Bottom