Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,365
- 14,183
Watavimba hao wanaweza wakapasukaYaan mtu akiona anajua wana wivu kabisa na usiku ntarusha ya kulalia kama wanakufa wafe
Watavimba hao wanaweza wakapasukaYaan mtu akiona anajua wana wivu kabisa na usiku ntarusha ya kulalia kama wanakufa wafe
Kama vipi na wewe tupia ya jamaa yakoHee wadau wanakereka na nini sasa?? Itakua wana sura chachu hao[emoji12] [emoji12]
Ukipata muda tupia na nyingine kesho mama Saby
Si mumuignore kama anawakera.Mbona tu akitukana anakamatwa.
Kiufupi unachokitoa lazima kina effecet kwenye hadhra . Kiwe kizuri ama kibaya.
Ila huyu mama yaliyomo yamooo?
Ili iweje tena?Kama vipi na wewe tupia ya jamaa yako
Hahaaaa wanaume bana kwani ulimtongoza akakataa adi akukere?Jibwakoko..! Unanikera pakashume waheed
Sabrina hivi wewe ni mwanamke/msichana, maana humu unaweza kuta unatreat mtu kama jike kumbe dume.... nimekupenda bure maana huna hasira! wanakujibu vibaya unacheka! hongera. Nitakutafuta inbox!Shangaa Islam yaan nashangaa halaf nawakera lakin bado wakiona nyuzi zangu haooo mbiooo kuja kusoma na kukereka si waache
Unazidi kumjaza gesi ujue, atalipuka [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndio maana anaboreka mimi kumrusha Docta Ulimwengu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tumjue shemelaaaIli iweje tena?
Mchana mwema!Tumjue shemelaaa
Atuambie kwanza chura ipo?Si mumuignore kama anawakera.
Si umuulize mwenyewe, au unamwogopa?
Tutazika tu haina shida.Yaan mtu akiona anajua wana wivu kabisa na usiku ntarusha ya kulalia kama wanakufa wafe
Hivi haya maji bado yapo? Ngoja nimcheki mangi.Agiza kandoro ya baridiiiii nakupm hela ya kulipa
Kweli kabisa, mbona wao huwa wanatupia picha za wanawake wakali sie hatujanuna jamani!!Hee wadau wanakereka na nini sasa?? Itakua wana sura chachu hao[emoji12] [emoji12]
Ukipata muda tupia na nyingine kesho mama Saby
Itakua wanamtaka mama Saby! Ko anavyompost Dr wanaloose hope[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kweli kabisa, mbona wao huwa wanatupia picha za wanawake wakali sie hatujanuna jamani!!
Sasa mtu kutupia picha wanakereka!! Au wana interest zao hivyo inawauma!!!
Ahahahahahaha Swank jioni ntatupia yaa kulalia na dawa iingie zaidiii na zaidiiHee wadau wanakereka na nini sasa?? Itakua wana sura chachu hao[emoji12] [emoji12]
Ukipata muda tupia na nyingine kesho mama Saby
Wanye mabogaaWatavimba hao wanaweza wakapasuka