Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,599
- Thread starter
- #61
Naongea nae haina haja ya kumwambiaNgoja nikamwambie Kuna dadangu anakuzimia huku.
Naongea nae haina haja ya kumwambiaNgoja nikamwambie Kuna dadangu anakuzimia huku.
Ahahahah watu bana ngoja nimrushie haka kauzi docta acheke aone mapovu haahahahHahaaaa wanaume bana kwani ulimtongoza akakataa adi akukere?
Una zile picha za mapovuIli iweje tena?
Mimi sio sukari ya waremboEti nifisii jana kule hukutajwa wewe akaishi Daby tu ulitakiwa wewe bana
Ahaahahahah jamani Docta ulimwengu huyu mzuri mno naeUnazidi kumjaza gesi ujue, atalipuka [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Halaf wanaume wazuri wazuri hamchukiii wale wenye sura mbaya sasa aaaa wanataka kupasuka jamaniTutazika tu haina shida.
Halaf sisi wala huwa hatuchukii,,ila sasa tukirusha sie utasikia malayaa ooh hili neno malaya mi mpaka lishanikinai watafute jipya,, espy umemuona docta lakin vizuriiiKweli kabisa, mbona wao huwa wanatupia picha za wanawake wakali sie hatujanuna jamani!!
Sasa mtu kutupia picha wanakereka!! Au wana interest zao hivyo inawauma!!!
Hahaah, nizitupie ama nini?Una zile picha za mapovu
Ahahahaha lazima utafikiria hivyo haki tena huwezi kuwa unakasirika tu hovyo ,,na nitawafurahishaItakua wanamtaka mama Saby! Ko anavyompost Dr wanaloose hope[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Wewe Daby wangu jamani mpole mno mumuwacheMimi sio sukari ya warembo
Ukioma mtu anapovuka rushaHahaah, nizitupie ama nini?
Naomba unitagg ukishatupia na mie nisafishe macho[emoji6] [emoji6]Ahahahahahaha Swank jioni ntatupia yaa kulalia na dawa iingie zaidiii na zaidii
Sura chachu sikuwapa mie bana
Jamaa hata hajali wala hana muda ,huyu jamaa akijiona huku... na hizi discussion unafikiri atajisikiajee!!
Usijali Swank nyuzi zangu usikose kabisaaa na upite kufurahia mapovu yanavyotiririkaNaomba unitagg ukishatupia na mie nisafishe macho[emoji6] [emoji6]
Inferiority complex tu. Na hivi unaendelea, watakunya kwa hasira. Lakini haitawasaidia kitu. Sura kama ni chungu ni chungu tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Halaf wanaume wazuri wazuri hamchukiii wale wenye sura mbaya sasa aaaa wanataka kupasuka jamani
Jamaa hata hajali wala hana muda ,
Ntawawekea kabisa video,,Na siku akiwa ana kupiga mashine ukumbuke kutuwekea picha
Na mtu mwenye sura chungu akikasirika mama weweeeInferiority complex tu. Na hivi unaendelea, watakunya kwa hasira. Lakini haitawasaidia kitu. Sura kama ni chungu ni chungu tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]