tueur de lion
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 902
- 782
Mama Sabrina,hyo ni picha tu ya kuchora isikupe donda la moyo na pengine chini ya jua hakuna mwanadamu wa aina hyo!
Nakuja unagawie Mama Sabrina, naskia we mtamu sana.View attachment 686151 usiwe unafungua nyuzi zangu utazidi kereka sana bro,mim sihitaji heshima ya mtu maana hazinisaidii,ukitaka nawe njoo nikugaiwe baba
Jamani bora hata we umejifariji hivyoMama Sabrina,hyo ni picha tu ya kuchora isikupe donda la moyo na pengine chini ya jua hakuna mwanadamu wa aina hyo!
Huwa kuna wachungu kwani?Nakuja unagawie Mama Sabrina, naskia we mtamu sana.
Anakua na wale wa kupiga tu na kupitaMzuri vile akose na ni rijali
Lazima anao unadhan kuna wa peke yako mimi mwenyewe hawako peke yaoAnakua na wale wa kupiga tu na kupita
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Umenifurahisha sana
Nilikuambia kanifollow insta basi ni shiida ShunieShemela [emoji85][emoji85][emoji85]
[emoji2][emoji2][emoji2]Lazima anao unadhan kuna wa peke yako mimi mwenyewe hawako peke yao
Anakukera wewe kama nani? Mtu anaishi maisha yake halafu wewe unachukia?? We ndio pakashume
Agizeni vinywaji mnavyokunywa bill ikuje kwanguJf hakuna Uhuru tena inawezekana member akatufurahisha members wote kama kitu hujakipenda unakausha kimtindo
Fanya moyo wako utakacho mama kila mtu na maisha yake kufuatiliana fuatiliana ndio sitaki.Shangaa Islam yaan nashangaa halaf nawakera lakin bado wakiona nyuzi zangu haooo mbiooo kuja kusoma na kukereka si waache
50/50 nani aumie moyo[emoji2][emoji2][emoji2]
Asante kaka ,asante kwa kupenda nifurahi,,mmmmmmwaaaaaahhhhh nioteFanya moyo wako utakacho mama kila mtu na maisha yake kufuatiliana fuatiliana ndio sitaki.
Wamekufurahisha eee acha kabisaAgizeni vinywaji mnavyokunywa bill ikuje kwangu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mimi sikereki hata kidogo.
Thread zinazonikera wala hata sizifunguagi.
Mimi ni fisi nipo nyuma nyuma nasuburi udondoshe chochote niokote nile
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ahaahahahah jamani Docta ulimwengu huyu mzuri mno naeView attachment 686200
Mmh sasa ukikutana naye si utapiga bao kabla hata hujaguswaNilikuambia kanifollow insta basi ni shiida Shunie
Nalowa kila saa