Nani huyu jamani

Nani huyu jamani

Mama Sabrina mbona unaonekana kama limbukeni na unashoboka nhuyu mariooo!!! Utadhani umebikiriwa juzi!!! Kumbe Gwiji mtoaji!!!
Au umetumwa umfanyie promo huyu marioo hapa JF!!! Acha utoto; unajishushia heshima hata kama hatukujui physically!! Tangu juzi umekomaa na promo ya huyu marioo!!!
Stupid!!
Dawaaa
 
Hivi kwa ninii mnapovukwa sasa akusifie wewe anakujua na avatar lako linatisha jaman wivu ni kidonda kila mtu ana uhuru wa kufanya anachojisikia kikubwa havunji sheria za jf mwenyewe najiandaa kuleta thread langu la kumzimikia mtu pamoja na uzee wangu kama nawaona mtakavyosonya huku mnasoma
Wasonyeee wakichoka wakanywe maji walale
 
Hivi kwa ninii mnapovukwa sasa akusifie wewe anakujua na avatar lako linatisha jaman wivu ni kidonda kila mtu ana uhuru wa kufanya anachojisikia kikubwa havunji sheria za jf mwenyewe najiandaa kuleta thread langu la kumzimikia mtu pamoja na uzee wangu kama nawaona mtakavyosonya huku mnasoma
Wasonyeee wakichoka wakanywe maji walale
 
Hivi kwa ninii mnapovukwa sasa akusifie wewe anakujua na avatar lako linatisha jaman wivu ni kidonda kila mtu ana uhuru wa kufanya anachojisikia kikubwa havunji sheria za jf mwenyewe najiandaa kuleta thread langu la kumzimikia mtu pamoja na uzee wangu kama nawaona mtakavyosonya huku mnasoma
Shunie nakojoooooooaaaaa ,tuwalete wao ili iweje kwanza wana sura za kuwekwa hapa mmmmssssiuuuu ,,watupishe hapa ukiona mtu anapovuka jua ni jitu baya linatishaa hata huwezi muangalia,,wasubiri wanaowapenda watawasifia
Fanya ulete mama tuone tufurahi sie wanataka tuwaze viwanda masaa yote tuliviahidi sie?
 
Mkuu unataka kuniona live? Tatizo tunaogopa humu wanaume wa humu akikuona tofauti na mawazo yake alivyokufikilia anakuja kukuanzishia mthread ana sura mbaya anatisha
Na hapo sasa ukute nae hovyo tu
 
Me jaman napenda mwanaume mwenye sura ngumu [emoji85][emoji85][emoji85] halaf jeusi
Mi bwana sura sio shida kama ana akili na ana hela ntampenda. Napenda sana wanaume wenye akili na wenye sura nzuri kidogo. Sura ngumu siwezii. Mi mbaya bwana mbaya nae wa nini.
 
Shunie nakojoooooooaaaaa ,tuwalete wao ili iweje kwanza wana sura za kuwekwa hapa mmmmssssiuuuu ,,watupishe hapa ukiona mtu anapovuka jua ni jitu baya linatishaa hata huwezi muangalia,,wasubiri wanaowapenda watawasifia
Fanya ulete mama tuone tufurahi sie wanataka tuwaze viwanda masaa yote tuliviahidi sie?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] au hivyo viwanda sisi tulimchagua huyo mzee wao wa viwanda life's too short fanya unachoona kinakufurahisha na kukupa amani ya moyo
 
Back
Top Bottom