Nani huyu jamani

Nani huyu jamani

Shunie nakojoooooooaaaaa ,tuwalete wao ili iweje kwanza wana sura za kuwekwa hapa mmmmssssiuuuu ,,watupishe hapa ukiona mtu anapovuka jua ni jitu baya linatishaa hata huwezi muangalia,,wasubiri wanaowapenda watawasifia
Fanya ulete mama tuone tufurahi sie wanataka tuwaze viwanda masaa yote tuliviahidi sie?
Kabla ya kumwaga povu zao wawe wanaweka sura zao kwanza
 
Mkuu unataka kuniona live? Tatizo tunaogopa humu wanaume wa humu akikuona tofauti na mawazo yake alivyokufikilia anakuja kukuanzishia mthread ana sura mbaya anatisha
Kama utakuwa jini mwenye pesa sitakuanzishia mthread[emoji7]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] au hivyo viwanda sisi tulimchagua huyo mzee wao wa viwanda life's too short fanya unachoona kinakufurahisha na kukupa amani ya moyo
Sijawah kuomba kura nikasema ntaleta viwanda wala sijui manini,,wanitue babu nna amani kabisa kuna watu kama watatu wananipa raha sanaa akiwepo docta pia nasahau karaha kabisa
 
Back
Top Bottom