Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,410
- 27,936
Huyo ukute hata Bonluv hamjui!Mueleze huyo....
Yani kakaa akaona Tetema ni bonge la biti....dah
Huyo ukute hata Bonluv hamjui!Mueleze huyo....
Yani kakaa akaona Tetema ni bonge la biti....dah
Yaaaaan,,,Huyo ukute hata Bonluv hamjui!
YeessssWakawaida tu huyo, hagusi hata chembe kwa Nahreel
Ukiangalia hii list ana amapiano 78/100 halafu anajiita best producer ever dogo amepagawa na upepo wa amapiano huyo!!! Mwambie apige nyingine beat kama la duke touch ya benpol nikikupata kama hapotei huyoView attachment 2983488
Naona kuna watu wanaleta ubishi usio na msingi kuhusu ukubwa wa producer namba moja Tanzania S2KIZZY aka Zombie.
Lakini wote wanaobisha wanasukumwa na chuki hawana sababu ya msingi.
Ukweli ni huo Zombie ndio producer namba moja Tanzania na ni namba 2 kwa muda wote nyuma ya PFunk Majani.
Mbona jigga na pac hawana number au michael Jackson ila wanabaki kuwa goats wa muda wote , na huwezi ona watu wenye number zao kma wakina drake , ed sheraan , CB na wengine kutaja respect za wakongwe DOGO s2kizzy haja respect wakongwe wa kazi wamepiga beat kali na wana uwezo mkubwa zaidi yake mfano NAHREEL ,mika hata lamar fish crabI respect Mika ila namba hazimbebi
Mfano staa gan?Mimi nimekulia kwenye muziki, mastaa wengi uliokuwa unawasikia redio enzi unakua walikuwa wanakula ugali home ndio wanaenda kurekodi kwa majani. Huu muziki nimeushuidia toka day one so naelewa sana nachokizungumza.
Tatizo la watoto wa 2000 wanaona views za YouTube ndo kila kitu, wakati youtube yenyewe imeanza 2005!Mbona jigga na pac hawana number au michael Jackson ila wanabaki kuwa goats wa muda wote , na huwezi ona watu wenye number zao kma wakina drake , ed sheraan , CB na wengine kutaja respect za wakongwe DOGO s2kizzy haja respect wakongwe wa kazi wamepiga beat kali na wana uwezo mkubwa zaidi yake mfano NAHREEL ,mika hata lamar fish crab
Unajua ndio maana nikakuuliza maana ya hit song kwako ni ipi.Hitsong haiitaji YouTube kuwa hitsong. Nyimbo za Chino wanaman hazina namba kubwa online lakini balaa lake unalijua mtaani. Zombie ni shughuli nyingine.
Zombie hana hit songs nyingi kuwazidi hao niliokutajiaAliyemzidi Zombie ni Majani tu. Hitsong za Zombie 2023 ni zaidi ya hits zote alizowai tengeneza Master Jay. Alafu mie nimezungumzia hitsong sijaongelea YouTube ndio maana nimemtaja majani ambae namba zake YouTube ni ndogo sana.
Hata wa sasa bado hayupo mbali sana na wengine kama abbah, moco, kimambo, lizer, troni n.kKijana yuko vyema kwa muziki huu wa sasa tumlinganishe na vizazi vyeke labda
Hakuna producer bongo asiyefanya sampling hajawai kutokea inaonekana unasikiliza sana naija music ndio maana unadhani sampling inafanywa miaka hii. Hujui muziki mkuuKuna maproducer siku izi ???!! au maproducer wanao sample music 😇😇
S2KIZZY amefanya kazi kubwa na Nandy, Marioo, Rayvany, Lui, Weusi, Chino, Zuchu, Billnas, Darasa, Maluma etcZombie hana hit songs nyingi kuwazidi hao niliokutajia
Zombie anafana kazi na diamond na hii ndio sababu unamsikia na unaona hadi hizo nomination kwenye tuzo.
Ukweli usiopingika diamond ni msanii wa sasa lakini ndio GOAT kwenye muziki wetu huu, hivyo akifanya kazi kwa ukaribu na yoyote lazima aende mjini. Hata wakati diamond anafanya kazi na Sheddy clever, Sheddy clever alikua producer mkubwa sana, hata alipokua anafanya kazi na lizer, lizer alikua mkubwa sana
Ni tofauti sana na ilivyokua kwa hao kina majani, miika, master j, Ludigo, roy, n.k
Wao walimchukua msanii akiwa hata hajui key ni nn, na Wala hata kuingiza vocal tu hajui. Lakini waliweza kumtengeneza na kumfanya kuwa msanii mkubwa na hit songs za kutosha.
Maluma anajua kama tetema ni beat kali au lahMueleze huyo....
Yani kakaa akaona Tetema ni bonge la biti....dah
Ni suala la wakati, lakini sio ubora. Ndio maana hata leo hii mchezaji mzembe kabisa kama Lukaku anasajiliwa kwa dau kubwa kuliko alilowahi kusajiliwa Ronaldo de limaWatoto lazima wafanye vizuri kuliko waliowatangulia. Vijana wengi wa sasa wameshavunja rekodi nyingi tu za wakongwe. Sio kwenye muziki tu hata fields zingine rekodi zimevunjwa na vijana. Hata huko mbeleni rekodi ya s2kizy itavunjwa na vijana wengine wa wakati huo. Labda tu inaweza ikachukua sana muda endapo s2kizzy ataendelea kuwa kwenye ubora kwa miaka mingi.
Ndio nakuuliza hao lui na chino wana hit songs zipi? Na nimekueleza kitendo Cha yeye kufanya kazi kwa ukaribu na diamond, lazima utamsikia sanaS2KIZZY amefanya kazi kubwa na Nandy, Marioo, Rayvany, Lui, Weusi, Chino, Zuchu, Billnas, Darasa, Maluma etc
Lui, Chino hawakuwa wasanii wakubwa ila kwenye zama hizi ngumu za muziki Zombie kawafikisha mjini.