Paroco
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 2,227
- 10,187
Huyo ni muathilika,
Kama ni jasiri angesema kipindi jiwe yupo hai.
Hana jipya!!!!!!!!!!!
Kauli yako inaviashiria vya unafiki.
Ni ani aliyethubutu kuuongelea utawala wa mwendazake alafu akaachwa hai.
Ben saa8 ni mfano mwema.