MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,864
- 6,236
Nahisi kuna wizi hapo, hii serikali haiaminiki ndo maana hata walipogawa neti watu tulifikiria mara mbili je ni kweli serikali inatupenda watanzania au kuna kitu,
Toka lini serikali ya kitanzania ikapenda wananchi yake iwakopeshe nyumba kwa bei nafuu, hilo ni Bomu linakuja kulipuka,,,,
UKIONA MANYOYA UJUE KALIWA NA UKIJIONA UMEKULA UJUWE UMELIWA, this is Danganyika na presdaa ni John Mtembezi aka mzee wa Trip
Toka lini serikali ya kitanzania ikapenda wananchi yake iwakopeshe nyumba kwa bei nafuu, hilo ni Bomu linakuja kulipuka,,,,
UKIONA MANYOYA UJUE KALIWA NA UKIJIONA UMEKULA UJUWE UMELIWA, this is Danganyika na presdaa ni John Mtembezi aka mzee wa Trip