Nani amemroga Profesa Palamagamba Kabudi?

Nani amemroga Profesa Palamagamba Kabudi?

Ni kweli mwanzo alirogwa. Nakumbuka jamaa zangu wa law walivyokuwa wakinihadithia. Kabudi kwenye lecture yake full kumcfia jk na kuicfia rasimu ya katiba mpaka nikaogopa. Hata jana alivyokuwa akianza nikajua ataharibu lakn hata mwenyewe amekubali kuwa alikuwa mjinga na alipoeleweshwa akaduwaa. Hongera prof.

Prof. Kabodi bana: -------- ana tabia ya kushupaa na
Mjinga ana tabia ya kuduwaa...basi kuanzia leo mimi ni
MJiNGa...Somo kubwa sana 2014...Je wewe unachagua
kushupaa au kuduwaa?! # KaziKwako # KatibaMpyaTz
 
Mimi ni Mjinga sifa yangu Kuduwaa,
Kamwe Sitakua -------- ili Nishupae.
 
Wiki iliyopita nilishangaa sana kumuona mwalimu huyu wa Family law akiungana na adui yake mkubwa Jaji wa zamani wa mahakama Kuu kitengo cha biashara kwa kuteatea mswada mbovu wa katiba unaopelekwa bungeni kwa nguvu ya mafisadi na serikali isiyosikiliza maoni na matakwa ya watu waliowapeleka madarakani,""hii si sawa na ni lazima itambulike kuwa wanasiasa nyie ni watanzania pia na huu mswada unawahusu zaidi nyie"" Haya ni baadhi ya manene yaliyomtoka Guru wa sheria za kifamilia na kunifanyua nijiulize ni nani aliyemloga Guru huyu??
V/S

SIDHANI KAMA PROF P K AMENUNULIWA ILA NAAMINI WATZ HAMKUMUELEWA VIZURI,ALICHOSEMA NI KUWA HATA WANASIASA NI WATANZANIA JAMANI WHICH IS ABSOLUTELY TRUE mimi bado namuamini mwalimu wangu wa CRIMINAL LAW
then...i dont see what all the fuss was about?
By the way i saw him yesterday in the dialogue (ITV), i think he went clean..when he cleared everything from his chest
 
mke wake bado yupo library?? nilimuacha pale! nilikuwa flower girl kwenye harusi yao! alikuwa anaitwa amina, akambadili dini to be a christian! ana two kids hope sijui nani mwingine, nimemsahau! looool! mmenikumbusha mbali!
 
Sikuwa mwanafunzi wa sheria UDSM,lakini kila nilipokuwa namwona prof Kabudi akichambua mada za kisheria, nilimkubali sana. Imani yangu kwake ilinitoka baada ya kutoa ushauri wa ajabu akiwa rafiki wa mahakama katika kesi ya mgombea binafsi. Nafikiri bila ushauri ule sasa hivi tungekuwa na mgombea binafsi.


Mkuu kwa sasa uchaguzi ujao ni lazima Mgombea Binafsi hata kama Katiba Mpaya haitapatikana .Hii ni kutokana na Hukumu ya Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu.Ila wasomi wetu wengi usiwaamini si hawa tu yupo mwingine aliyetusumbua na Mavitabu yake yenye maneno Memngi tujkamwamini na kuvinunua na sasa ni mevitupa kwa sababu hata yeye mwenyewe kumbe hana uhakika wa alichokiandika alitaka kujaza saver za vichwa vyetu .Na kuanzia siku niliyo msikia huyu bwana akiyakanyagakanyaga mawazo na misimamo yake kwasababu ya mkate NIME APA KWAMBA SINTO MNUKUU PROFESA YEYOTE WAKITANZANIA HASA... KUTOKA CHUO KINA CHOJIITA KIKONGWE UDSM ...MPAKA ATAKAPO KUFA KWA NI HATAWEZA KUFUFUKA KURUDI KUTUCHANGANYA...

Usiwaamini wasomi huwa kadiri wanavyo bobea kwenye usomi kichwa chao kina jaa material so akifikiri vizuri kwa hiyo wana hamishia shughuli za kufikiri kwenye matumbo yao
 
umesahau watu wanauzwa na kununuliwa pia? (sio miili tu mpaka na fikra zao)

images
 
Ama kweli ukistaajabu ya Musa unaona ya Firauni.

Wasomi wa nchi majanga. Kumbe ukiwa mwongo jifunze kutunza kumbukumbu.

Huyu prof kanipa jibu kwanini hata Rais wangu alipoulizwa Kwann Tanzania ni masikini akajibu sijui ni kwanini.

Hawa ndio aina yetu ya wasomi tunaotegemea watutoe hapa tulipokwama kumbe hamna kitu.

Kwa mujibu wa thread nimeshindwa kuelewa hata kama mie mjinga. Huyo ni prof.anasema jibu ni 1 baadae anasema jibu ni 2 then anarudi kusema jibu ni 1???

Huyu atakua Muathirika sio bure... kuna wadudu wanautafuna ubongo wake pasipo kujua.

Sijawai kusikia prof wa dizaini hii.
Kutenda kosa si kosa bali kurudia kosa ndo kosa.
Alipoteleza mara ya kwanza mtu unaweza ukamuelewa kuwa kabaini kosa.

Kituko ni pale anapoteleza kwa kurudia jibu la kwanza akisema ndo lilikua sahii na si lile la pili.

Hivi MUNGU nilikukosea ni mpaka kuniumba kwenye nchi kama hii iliyojaa laana na wanafiki?
 
Tunaolalamika hatuko kwenye system tuu lakini pacha picha ungekuwa wewe hapo!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
mleta mada ww unajiita nani kati ya wajinga na wapumbavu? Prof. alitutoa matongotongo wengi maana alisema yale msiotaka ninyi. Hajalogwa labdaww ndio mchawi uliyeshindwa.
 
mke wake bado yupo library?? nilimuacha pale! nilikuwa flower girl kwenye harusi yao! alikuwa anaitwa amina, akambadili dini to be a christian! ana two kids hope sijui nani mwingine, nimemsahau! looool! mmenikumbusha mbali!

Mmmmh kwan bado unafaa kuwa glower girl?
 
Mtoa Maada ni -------- HII NA MARA YA KWANZA KUTUKANA MTU KWENYE MITANDAO LKN KUTOKANA NA MAADA YAKE YA KIPUMBAVU
 
AMARIDONG

aliyemloga
= aliyemroga

Kuroga au kurogwa na si kuloga au kulogwa.
 
Last edited by a moderator:
Ni kufuru kwa Watanzania kuujadili Muungano kama vile ilivyo kufuru kumjadili Mungu na kuuliza maswali kuhusu Muumba!!! Hawa watu ni vichekesho kweli kweli!!! Wanataka kufukia kila kitu na kupretend kama mambo ni shwari kumbe yanafukuta chini kwa chini!!!


Sitta also bans debate on Zanzibar status

2008-07-25 10:19:32
By Bilal Abdul-Aziz, Dodoma


National Assembly Speaker Samwel Sitta issued a directive here yesterday effectively barring Members of Parliament from any further discussion on whether Zanzibar is legally a state.

Sitta, whose intervention came as MPs shot direct questions at Prime Minister Mizengo Pinda under a recently introduced weekly procedure, invoked Rule 53 (8) of the House Standing Orders to cut off the questions and end the session.

``Rule 53 (8) of the House Standing Orders disallows any MP from reverting to any issue that has already been discussed and decided upon? Therefore, my ruling is that we shall not discuss this issue any further,`` he declared.

The Speaker explained that the Prime Minister elaborated comprehensively enough on the issue inside the House last week, including recommending that the Union and Zanzibar attorney generals pursue it jointly to its logical conclusion.

``The issue has already been handed over to the two attorney generals?and when the Prime Minister made the announcement to that effect last week, honourable MPs clapped as a sign that they concurred with him,`` he said.

He stood by his ruling amid a wave of questions on what the Union Constitution said about the status of the Isles from the opposition camp, led by Zanzibar legislators Mohamed Habib Mnyaa (Mkanyageni - CUF) and Dr Ali Tarab Ali (Konde - CUF) .

Mnyaa had demanded explanation from the Prime Minister on whether it was the Articles of Union that formed the United Republic of Tanzania or the Union Constitution that reigned supreme.

``I think Hon Mnyaa is not wishing me any good?I didn?t want to comment on this issue at length?I have learned from the media that there was a demo planned against me in Zanzibar,`` noted Pinda, before responding.

He then said the matter had already been left in the hands of the two attorney generals in the hope that they would make a thorough study of the Constitution and see where there were problems and how best to deal with them.

He added that he believed time had come for the ruling CCM to take up the matter and issue a conclusive statement on it ``after which I think we will be in a position to get a definitive answer``.

But the Konde MP found the response unsatisfactory and stood up to throw a supplementary question opposing the idea of leaving the matter in the hands of the two attorney generals and the ruling party.

``Since the Union belongs to all Tanzanians, the issue is not the responsibility of only the government but of all the people,`` argued the legislator, his favourite option being the initiation of a public dialogue ?so that the people can decide``.

It was at that juncture that Speaker Sitta intervened, issuing the ``stop order``, just as Zanzibar House of Representatives Speaker Pandu Ameir Kificho did only days ago..

Responding to MPs` questions in the National Assembly last week, the Prime Minister was emphatic that there was no way Zanzibar could become a sovereign state within another sovereign state (the United Republic of Tanzania) because doing that would automatically break the April 26, 1964 Union between Tanganyika and Zanzibar.

Pinda, a lawyer, explained that Zanzibar was not a sovereign state because it lost the status when it became part of a new sovereign state known as the United Republic of Tanzania.

He said he saw no way during his prime ministerial tenure in which he would be party to a political experience or process that would lead to the collapse of ``the precious and exemplary Union between Tanganyika and Zanzibar``.

SOURCE: Guardian

Toa elimu ya bure mwakilishi wa BAKWATA hapa Jf
 
Back
Top Bottom