Nani amemroga Profesa Palamagamba Kabudi?

mtu anapochangia mtazamo wake katika maswala mbalimbali ni lazima mtazamo wake udondokeee kwa walio wengi?au aseme anachokiamini bila kufungwa na yeyoyote,kutokana na hilo nashauri mtu anapokuwa kaongea pumba tusimua attack yeye direct,tuattack hoja yake hiyo ambayo sisi tunaiona pumba
 
Muswada ulioko bungeni hivi sasa pamoja na mambo mengine unatoa nguvu kubwa kwa "Rais" wa zanzibar. Prof. kabudi anaweza kutukumbusha kile alichosema wakati wa utawala wa Dr Salimin amour

nakumbuka vizuri kisanga hicho Prof. kabudi kipindi hicho alikuwa mwimba mcungu juu ya hoja za leo kama zanzibar ni nchi au sio nchi. Nakumbuka kisa chenyewe: wasomi kadhaa w aUDSM wakiongozwa na Dr kabudi kipindi hicho walimweleza "Dr"Salimin Amour kuwa yeye ni sawa na Luteni Yusuf makamba( wakati huo mkuu wa mkoa wa dar es salam).

Dr Salimin akaja juu akatishia kuwashitaki wakamwambia nenda mahakamani ili uje utueleze pamoja na mambo mengine kama kweli wewe ni rais, walimwmabia kw amujibu w amtakaba wa Montevideo nafikiri wa mwaka 1933, ili nchi iweze kuwa nchi inapaswa pamoja na mambo mengine, Jeshi lake, Salimin Una jehsi: ili nchi iweze kuwa nchi kiongozi wake anapaswa kuw ana uwezo w akuingia mikataba ya kimataifa: Salim Unaingia mikataba ya kimataifa?N.k

Najiuzluza leo Prof. kabudi anaweza kusimamia maneno haya?. Akayalinganisha na madaraka yaliyotolewa kwenye muswada wa sasa sawa na madarakaya rais wa JMTi?
 
i still believe in my mwalimu, hiyo ni ishu ndogo sana bro, what matters is alipotufundisha alikuwa anatupa nini? it is the content that matters na sio personality yake kwa sasa
 
Inawezekana alilogwa kweli, LAKINI sasa amezinduka! Ana hasira ya kuuawa kwa rafiki yake Prof. Mvungi... Uchambuzi wake wa kina leo umempaisha na kumfanya kama tegemeo kubwa na hazina kubwa kwa Taifa hili... Binafsi nimeshawishika kurejea darasani kusoma sharia kwenye darasa lake atakalo fundisha ... Intellectually yuko bomba ile mbaya...Huyu Jamaa anauwezo mkubwa sana wa kumtoa nishai yule Prof Muhongo Mwenye kuuza nchi kwa Wamarekani ...
 
Alipoingia kwa mara ya kwanza darasani kunifundisa Family Law niliamini kweli niko chuo kikuu na ninafundishwa na GURU mwenye uwezo mkubwa, na baada ya kufundishwa nae kwa muda mrefu sikuamini kama kuna mtu Tanzania ambaye anaweza kuwa na uwezo mkubwa katika maswala ya sheria za familia kwa wakati ule zaidi yake.

Naikumbuka sauti yake kali na maelezo yake yasiyobabisha nakumbuka pia wanafunzi wengi waliopendelea kukaa viti vya mbele walilalamika kuwa Palmagamba alikuwa ananyesha sana, yaani akiongea anatoa mate huku na huku hilo sikulishuhudia kwani nilikuwa napendelea kukaa nyuma kama ilivyo mila yetu kuwa kijana wa kichaga unakaa nyuma ya familia ili kuilinda na kuhakikisha familia inakuwa salama sio uhuni kukaa backbencha.Siamini mtu mahiri ambaye mara zote darasani aliiponda serikali na kuwaponda watendaji wake

Mwalimu ambaye hakuna hata siku moja laiyowahi kusema zuri juu ya serikali na katiba yake,kila siku akijadili katiba alionyesha mapungufu makubwa juu ya katiba iweje leo ausifie mswada mbovu LAZIMA AMELOGWA na huku ni kulogwa kwa kununuliwa na SHILINGI.

Alipoingia kwenye siasa za kinafki na kuanza kuchambua hoja ya mgombea binafsi kinafki bila kusema ukweli kwa wananchi niligundua kuwa mwalimu wangu sasa ana njaa ,na ameamua kutafuta umaarufu mwingine zaidi ya ule uliotukuka aliokuwa nao.Nilifikiri labda anajiandaa kugombea ubunge sehemu fulani au ameahidiwa Uanasheria mkuu.

Wiki iliyopita nilishangaa sana kumuona mwalimu huyu wa Family law akiungana na adui yake mkubwa Jaji wa zamani wa mahakama Kuu kitengo cha biashara kwa kuteatea mswada mbovu wa katiba unaopelekwa bungeni kwa nguvu ya mafisadi na serikali isiyosikiliza maoni na matakwa ya watu waliowapeleka madarakani,""hii si sawa na ni lazima itambulike kuwa wanasiasa nyie ni watanzania pia na huu mswada unawahusu zaidi nyie"" Haya ni baadhi ya manene yaliyomtoka Guru wa sheria za kifamilia na kunifanyua nijiulize ni nani aliyemloga Guru huyu??

Naomba kumshauri mwalimu wangu kuwa kwa sasa amebaki peke yake mtaalamu na msomi anayeitetea CCM,aangalie sana isije ikawa mwaisho wa wema wake unafikia kuwa mwanzo wa ubaya wake.

Mabadiliko tunayoyataka ni lazima yaje kwa nguvu au kwa hiari Mkapa alisema HAKI HAIOMBWI INADAIWA NA IKISHINDIKANA INAPIGANIWA, tutaidai haki yetu hata kwa kuipigania.

Acha Kutumika Mkuu Na Mtu Kutokwa Na Mate Wakati Anazungumza Sidhani Kama Ni Hoja Ya Kuileta hapa / humu Na Isitoshe Hujafa Hujaumbika Mkuu. Mtu Dhaifu Huwa Anaangalia Vitu Vya Kipumbavu Kwa Adui Yake Kama Silaha Yake Ya Utetezi. Mbona Sisi Hatusemi Jinsi Wabunge Ambao Hukaa karibu Na Wasira Hulalamika Kuwa Huwa Anajamba Sana ktk Vikao? Na Hili Sitanii Ni Kweli Kwa Asilimia 100%. Nimesikitika Kuona Unamjadili Baba Wa Watu Kwa Itikadi Zako za Uchama Tawala Huku Ukiacha Kuangalia Mambo Mema Profesa Aliyotuambia Leo. Sikutaka Kutoa Ukweli wa Huyo Tyson ILA Nimeona Nami Nikupe Sehemu Ya Ukweli wa Kada Wako Wa Upande wa Pili.
 
Mkuu slow down... uzi wa long time huu... Nyakati zile tukubali alikuwa amelogwa ... Baada ya Kumua Prof Mvungi, imemzindua na sasa amedhamiria kuizika CCM ... Kabudi Bonge la Jembe ....
Wewe ni pimbi na uwezo wako wa kufikiri ni mdogo. Prof. Kabudi kaeleza ukweli ambao kada wako waccm Butiku pia kwa heshima kakiri kwa uma wa tanzania kuwa ccm imekosea. Wenzio kina msalani na wengine hawajaja hapa maana wameelewa na wefundishwa na wataaluma hao ambao uzalendo umewajaa. Wewe na upimbi wako mtu pumbavu uliyesoma na hukuelimika unamtukana prof. ambaye wewe kwa ujinga wako alikupiga sapu. Kama wewe umefundishwa na prof. huyu na hujitambui basi yawezekana umelaani. Jitambuwe kama Prof. kalogwa je Butiku utasemaje?. Hiz ndio tabia za ccm wakishindwa hoja hushambulia watu. Acha kuvubaa duwaa!! Kuwa mjinga acha kuwa --------. Toa hoja hapa kupinga hoja zake hii historia ukizotupa hapa inatusaidia nini? Eti msomi wa sheria shame on you!! Elimu ya nchi hii inaenda wapi jamani mbona wasomi hawajui tena kujibu hoja ila kushambulia watoa hoja?
 
Nilipopewa kuusoma huu Uzi nikashtuka Kumbe mumekumbushia mpaka kadhaa nyuma...... Basi msijali vijana yule mtu muliyekuwa mwamtegemea amerudi kwenye mstari na amejivika silaha tayari kutetea Taifa lake......semeni Mungu yu mwema.
 
Prof. Palamagamba kabudi

images


Hii ndo SOurce ya NENO GAMBA

Natoa samahani kwa wanaJF maana Prof amejirudi na kuonyesha Utanzania

Samahani sana \\\\\\\\\prof
 
Hahahahahhhhhr.....Watu wametokwa povu hapa bila kuangalia tarehe ya uzi ulipoanzishwa....Mwenyewe nusura nimlushie ngumi mtoa hoja hapa kuchek maudhui ya mada na namna anavyoiwasilisha nika note jambo loooh watu tunatoka mbali sana

BACK TANGANYIKA
 
Alipoingia kwa mara ya kwanza darasani kunifundisa Family Law niliamini kweli niko chuo kikuu na ninafundishwa na GURU mwenye uwezo mkubwa, na baada ya kufundishwa nae kwa muda mrefu sikuamini kama kuna mtu Tanzania ambaye anaweza kuwa na uwezo mkubwa katika maswala ya sheria za familia kwa wakati ule zaidi yake.

Naikumbuka sauti yake kali na maelezo yake yasiyobabisha nakumbuka pia wanafunzi wengi waliopendelea kukaa viti vya mbele walilalamika kuwa Palmagamba alikuwa ananyesha sana, yaani akiongea anatoa mate huku na huku hilo sikulishuhudia kwani nilikuwa napendelea kukaa nyuma kama ilivyo mila yetu kuwa kijana wa kichaga unakaa nyuma ya familia ili kuilinda na kuhakikisha familia inakuwa salama sio uhuni kukaa backbencha.Siamini mtu mahiri ambaye mara zote darasani aliiponda serikali na kuwaponda watendaji wake

Mwalimu ambaye hakuna hata siku moja laiyowahi kusema zuri juu ya serikali na katiba yake,kila siku akijadili katiba alionyesha mapungufu makubwa juu ya katiba iweje leo ausifie mswada mbovu LAZIMA AMELOGWA na huku ni kulogwa kwa kununuliwa na SHILINGI.

Alipoingia kwenye siasa za kinafki na kuanza kuchambua hoja ya mgombea binafsi kinafki bila kusema ukweli kwa wananchi niligundua kuwa mwalimu wangu sasa ana njaa ,na ameamua kutafuta umaarufu mwingine zaidi ya ule uliotukuka aliokuwa nao.Nilifikiri labda anajiandaa kugombea ubunge sehemu fulani au ameahidiwa Uanasheria mkuu.

Wiki iliyopita nilishangaa sana kumuona mwalimu huyu wa Family law akiungana na adui yake mkubwa Jaji wa zamani wa mahakama Kuu kitengo cha biashara kwa kuteatea mswada mbovu wa katiba unaopelekwa bungeni kwa nguvu ya mafisadi na serikali isiyosikiliza maoni na matakwa ya watu waliowapeleka madarakani,""hii si sawa na ni lazima itambulike kuwa wanasiasa nyie ni watanzania pia na huu mswada unawahusu zaidi nyie"" Haya ni baadhi ya manene yaliyomtoka Guru wa sheria za kifamilia na kunifanyua nijiulize ni nani aliyemloga Guru huyu??

Naomba kumshauri mwalimu wangu kuwa kwa sasa amebaki peke yake mtaalamu na msomi anayeitetea CCM,aangalie sana isije ikawa mwaisho wa wema wake unafikia kuwa mwanzo wa ubaya wake.

Mabadiliko tunayoyataka ni lazima yaje kwa nguvu au kwa hiari Mkapa alisema HAKI HAIOMBWI INADAIWA NA IKISHINDIKANA INAPIGANIWA, tutaidai haki yetu hata kwa kuipigania.

Walibya walsema hivyo hivyo, Wamisri nao pia , huu ndio ulimwengu bwana !
 
Inawezekana alilogwa kweli, LAKINI sasa amezinduka! Ana hasira ya kuuawa kwa rafiki yake Prof. Mvungi... Uchambuzi wake wa kina leo umempaisha na kumfanya kama tegemeo kubwa na hazina kubwa kwa Taifa hili... Binafsi nimeshawishika kurejea darasani kusoma sharia kwenye darasa lake atakalo fundisha ... Intellectually yuko bomba ile mbaya...Huyu Jamaa anauwezo mkubwa sana wa kumtoa nishai yule Prof Muhongo Mwenye kuuza nchi kwa Wamarekani ...

hata mwigulu akili zimemrudi, aliyebakia ni Lukuvi na wasira.
 
....Kabuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuudiiiiiiiiiiiiiiiiii! KARUDI! Leo kama CCM hawajamwelewa NTAWASHANGAAAAAAAAAAAAAAA! Nawashauri Wajumbe wa BONGE la katiba waisome RANDAMA pamoya na RASIMU ya Katiba MPYA ibara za 6, 8, 10 na 15 KWA PAMOJA kabla hawajarudia kuwatukana kina Sinde. Yaani kwa Ung'eng'e: They should ready CROSS SECTIONALLY all these artlicles.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom