baba Manyo
New Member
- Oct 13, 2011
- 3
- 0
mtu anapochangia mtazamo wake katika maswala mbalimbali ni lazima mtazamo wake udondokeee kwa walio wengi?au aseme anachokiamini bila kufungwa na yeyoyote,kutokana na hilo nashauri mtu anapokuwa kaongea pumba tusimua attack yeye direct,tuattack hoja yake hiyo ambayo sisi tunaiona pumba