Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Pamoja sana mkuu ,Ila kumbuka damu pia ni nyekunduSatoh Hirosh -Unazi uendelee, sema mwanangu inabidi uhame huko kwa makolo kwasababu hujazaliwa nao ila tunaendelea kufarahia michango yako ndani ya jukwaa letu na kuishi kama familia
Mwifwa -Moja kati ya watu wanaonifanya niendelee kuwepo jukwaa hili kwa fact zao konki za michezo
Dabil -Ukiondoa unazi ulionao kwa makolo ila tunafurahia uwepo wako mkuu ktk jukwaa letu