Hii inamaana kubwa kwangu Mkuu, Shukrani kwa utambuzi
Heshima yako mkuu .Sina Shaka kbs linapokuja swala la kuitetea klabu yetu pendwa ya simba..Huwa unaibeba mabegani mwakoSatoh Hirosh popote uliko chukua gwala hilooo
Kitimoto mzee wa dislike
desayi
Matola
ukikaidi utapigwa2
kurlzawa
Frumence M Kyauke
SAGAI GALGANO
PTER
Dabil
juma mpemba
MALCOM LUMUMBA utopolo lia lia
Mac Alpho
Its Pancho utopwinyo
Mbaga III
Mwifwa ningefanya kosa ku
timelineKiukweli wadau ni wengi hapo bado kuna ID zingine nimezisahau najaribu kuzikumbuka kila nitakayoikumbuka nitaweka tag
Pamoja sana mtaniShadeeya -Huyu balaa lake lipo kule kwenye special thread ya Dar es Salaam Young Africans, tunakupenda sana our own Sports lady
Kalpana -Another sports lady Halafu ni kolobwenzi kolobwanji, Mungu aendelee kukuweka na kulitendea haki jukwaa hili la michezo
ntazana ntazana -Tunafurahia uwepo wako pia ktk jukwaa hili na michango yako ni ya thamani sana, sema unazingua sehemu moja tu ni huko upande wa makolo ulipo
Simara -Keep the fire going our sports lady na tunafurahia michango yako hapa jukwaani
Shukrani sana bwana koloKitimoto mzee wa dislike
desayi
Matola
ukikaidi utapigwa2
kurlzawa
Frumence M Kyauke
SAGAI GALGANO
PTER
Dabil
juma mpemba
MALCOM LUMUMBA utopolo lia lia
Mac Alpho
Its Pancho utopwinyo
Mbaga III
Mwifwa ningefanya kosa kubwa kukusahau
Pamoja sana mkuu wa kwetu kabisa unyamani. Simba nguvu mojaa.
Hii inaonesha namna gani wanajf tunavyopendana na kuthaminiana japo utani unakuwepo sana. Na kukwazanaViol-Endelea kuwasha moto kwa jukwaa hili mkuu na tunakutegemea sana na tunafurahia uwepo wako ndani ya jukwaa na pia endelea na unazi wako kwa Simba Sc
Ghazwat-Tunafurahia sana uwepo wako katika hili jukwaa, na tunapenda sana michango yako.
desayi -Thanks kwa mchango wako mkubwa sana mkuu, endelea kuilinda nembo ya timu ya Dar es Salaam Young Africans
Its Pancho - Unazi wako wa kiwango cha lami kwa Dar es Salaam Young Africans ni wa kiwango cha fly over na tunafurahia Sana uwepo wako humu ndani na kujihisi ni familia moja
Mbaga III -Wewe ni familia ndani ya jukwaa letu na tunafurahia michango yako na kukupenda pia
Kitimoto -Daaah mwanangu wa dislike una balaa lako la kipekee humu ndani, sema ndio Usha kuwa familia na tunafurahia zaidi michango yako
Balaa zaidi la wanachama waliosherehesha jukwaa hili linakuja
Pamoja mkuu, tunaamini top 4 msimu huu inawezekana kabisa.Wanangu wa kwenye special thread ya Arsenal, Tuombe Mungu sana timu yetu iendelee na moto walioanza nao mpk mwisho wa msimu angalau tupate nafasi ya kwenye top 4
Castr Relief Mirzska Jackwillpower Will Jr ERoni mysterio computerarsenal
Asante mkuu chama kubwaa kubwa la maadui SSC
Shukran sana kiongozi, 🤝Kitimoto mzee wa dislike
desayi
Matola
ukikaidi utapigwa2
kurlzawa
Frumence M Kyauke
SAGAI GALGANO
PTER
Dabil
juma mpemba
MALCOM LUMUMBA utopolo lia lia
Mac Alpho
Its Pancho utopwinyo
Mbaga III
Mwifwa ningefanya kosa kubwa kukusahau
Ahahah tuko pamoja mkuu,ila Nina alegy na Uzi wa kkjani.Siwezi kulikacha chama langu la msimbazi hata uje na vipande vya fedha sinunuliki km manaraSatoh Hirosh -Unazi uendelee, sema mwanangu inabidi uhame huko kwa makolo kwasababu hujazaliwa nao ila tunaendelea kufarahia michango yako ndani ya jukwaa letu na kuishi kama familia
Mwifwa -Moja kati ya watu wanaonifanya niendelee kuwepo jukwaa hili kwa fact zao konki za michezo
Dabil -Ukiondoa unazi ulionao kwa makolo ila tunafurahia uwepo wako mkuu ktk jukwaa letu
Anything is within reach.Wanangu wa kwenye special thread ya Arsenal, Tuombe Mungu sana timu yetu iendelee na moto walioanza nao mpk mwisho wa msimu angalau tupate nafasi ya kwenye top 4
Castr Relief Mirzska Jackwillpower Will Jr ERoni mysterio computerarsenal
Thanks mkuu ,pamoja sana nashukuru pia kwa changamoto na unazi wako wa yanga ,mwisho wa siku michezo ni burudani.Viol-Endelea kuwasha moto kwa jukwaa hili mkuu na tunakutegemea sana na tunafurahia uwepo wako ndani ya jukwaa na pia endelea na unazi wako kwa Simba Sc
Ghazwat-Tunafurahia sana uwepo wako katika hili jukwaa, na tunapenda sana michango yako.
desayi -Thanks kwa mchango wako mkubwa sana mkuu, endelea kuilinda nembo ya timu ya Dar es Salaam Young Africans
Its Pancho - Unazi wako wa kiwango cha lami kwa Dar es Salaam Young Africans ni wa kiwango cha fly over na tunafurahia Sana uwepo wako humu ndani na kujihisi ni familia moja
Mbaga III -Wewe ni familia ndani ya jukwaa letu na tunafurahia michango yako na kukupenda pia
Kitimoto -Daaah mwanangu wa dislike una balaa lako la kipekee humu ndani, sema ndio Usha kuwa familia na tunafurahia zaidi michango yako
Balaa zaidi la wanachama waliosherehesha jukwaa hili linakuja