Nani amelitendea haki Jukwaa la Michezo kwa mwaka 2021?

Shadeeya -Huyu balaa lake lipo kule kwenye special thread ya Dar es Salaam Young Africans, tunakupenda sana our own Sports lady

Kalpana -Another sports lady Halafu ni kolobwenzi kolobwanji, Mungu aendelee kukuweka na kulitendea haki jukwaa hili la michezo

ntazana ntazana -Tunafurahia uwepo wako pia ktk jukwaa hili na michango yako ni ya thamani sana, sema unazingua sehemu moja tu ni huko upande wa makolo ulipo

Simara -Keep the fire going our sports lady na tunafurahia michango yako hapa jukwaani
 
Shadeeya -Huyu balaa lake lipo kule kwenye special thread ya Dar es Salaam Young Africans, tunakupenda sana our own Sports lady

Kalpana -Another sports lady Halafu ni kolobwenzi kolobwanji, Mungu aendelee kukuweka na kulitendea haki jukwaa hili la michezo

ntazana ntazana -Tunafurahia uwepo wako pia ktk jukwaa hili na michango yako ni ya thamani sana, sema unazingua sehemu moja tu ni huko upande wa makolo ulipo

Simara -Keep the fire going our sports lady na tunafurahia michango yako hapa jukwaani
Pamoja sana mtani
 
Viol-Endelea kuwasha moto kwa jukwaa hili mkuu na tunakutegemea sana na tunafurahia uwepo wako ndani ya jukwaa na pia endelea na unazi wako kwa Simba Sc

Ghazwat-Tunafurahia sana uwepo wako katika hili jukwaa, na tunapenda sana michango yako.

desayi -Thanks kwa mchango wako mkubwa sana mkuu, endelea kuilinda nembo ya timu ya Dar es Salaam Young Africans

Its Pancho - Unazi wako wa kiwango cha lami kwa Dar es Salaam Young Africans ni wa kiwango cha fly over na tunafurahia Sana uwepo wako humu ndani na kujihisi ni familia moja

Mbaga III -Wewe ni familia ndani ya jukwaa letu na tunafurahia michango yako na kukupenda pia

Kitimoto -Daaah mwanangu wa dislike una balaa lako la kipekee humu ndani, sema ndio Usha kuwa familia na tunafurahia zaidi michango yako

Balaa zaidi la wanachama waliosherehesha jukwaa hili linakuja
Hii inaonesha namna gani wanajf tunavyopendana na kuthaminiana japo utani unakuwepo sana. Na kukwazana

Nathamini mchango wako na members wengine humu nashukuru kwa kunitambua.
Shukurani ila Scars kisasi kipo pale pale 😁😁
 
Satoh Hirosh -Unazi uendelee, sema mwanangu inabidi uhame huko kwa makolo kwasababu hujazaliwa nao ila tunaendelea kufarahia michango yako ndani ya jukwaa letu na kuishi kama familia

Mwifwa -Moja kati ya watu wanaonifanya niendelee kuwepo jukwaa hili kwa fact zao konki za michezo

Dabil -Ukiondoa unazi ulionao kwa makolo ila tunafurahia uwepo wako mkuu ktk jukwaa letu
 
Satoh Hirosh -Unazi uendelee, sema mwanangu inabidi uhame huko kwa makolo kwasababu hujazaliwa nao ila tunaendelea kufarahia michango yako ndani ya jukwaa letu na kuishi kama familia

Mwifwa -Moja kati ya watu wanaonifanya niendelee kuwepo jukwaa hili kwa fact zao konki za michezo

Dabil -Ukiondoa unazi ulionao kwa makolo ila tunafurahia uwepo wako mkuu ktk jukwaa letu
Ahahah tuko pamoja mkuu,ila Nina alegy na Uzi wa kkjani.Siwezi kulikacha chama langu la msimbazi hata uje na vipande vya fedha sinunuliki km manara

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Viol-Endelea kuwasha moto kwa jukwaa hili mkuu na tunakutegemea sana na tunafurahia uwepo wako ndani ya jukwaa na pia endelea na unazi wako kwa Simba Sc

Ghazwat-Tunafurahia sana uwepo wako katika hili jukwaa, na tunapenda sana michango yako.

desayi -Thanks kwa mchango wako mkubwa sana mkuu, endelea kuilinda nembo ya timu ya Dar es Salaam Young Africans

Its Pancho - Unazi wako wa kiwango cha lami kwa Dar es Salaam Young Africans ni wa kiwango cha fly over na tunafurahia Sana uwepo wako humu ndani na kujihisi ni familia moja

Mbaga III -Wewe ni familia ndani ya jukwaa letu na tunafurahia michango yako na kukupenda pia

Kitimoto -Daaah mwanangu wa dislike una balaa lako la kipekee humu ndani, sema ndio Usha kuwa familia na tunafurahia zaidi michango yako

Balaa zaidi la wanachama waliosherehesha jukwaa hili linakuja
Thanks mkuu ,pamoja sana nashukuru pia kwa changamoto na unazi wako wa yanga ,mwisho wa siku michezo ni burudani.
Ingawa hapo juu umenimention kwa ID nyingine ila tuko pamoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom