Matusi award?Kwa upande wangu kura yangu inaenda kwa GENTAMYCINE
Una mpa kura sababu ipi?Kwa upande wangu kura yangu inaenda kwa Popoma Gentamycine
Wanatumikia ban yao yeye na matolaKwa upande wangu kura yangu inaenda kwa Popoma Gentamycine
Rekebisha uzi wako, akitajwa member zitolewe na sababu za kumchagua huyo member ni zipi? Lazima tupewe na wasifu wa member kwenye jukwaa la michezoLeo ni Desemba 3, tumeingia mwezi wa mwisho kwa mwaka huu! Ni member gani amenogesha zaidi jukwaa hili kwa mwaka huu? Karibuni
Mbona wewe hujajitaja mzee?
Simba FC....pamoja mkuu
Kuna yule jamaa anaetupaga live update za mechi nadhan ni Linguistic anajitahidi sana. Yaan kama nafuatilia mechi ila sitaki makelele basi nakua na tab moja ya jfLeo ni Desemba 3, tumeingia mwezi wa mwisho kwa mwaka huu! Ni member gani amenogesha zaidi jukwaa hili kwa mwaka huu? Karibuni
Put my name beneath of yours, I don't think if I deserve to be on top of you guysScars
OKW BOBAN SUNZU
njaakalihatari
Greatest Of All Time
Hawa JF wameandika mno kupindukia habari za Sports.